Haya hapa majina walioitwa usaili ajira za TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili wa nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu.
YANGA SC, jana usiku ilizindua kitabu kinachoonyesha historia nzima ya klabu hiyo tangu kuanzishwa kwake kilichopewa jina la Klabu Yetu, Historia Yetu. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo sambamba na viongozi wa Serikali huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko. Akizungumza katika uzinduzi wa…
WAKATI mashabiki wa Yanga wakichekelea matokeo ya sare waliyoipata watani zao, Simba dhidi ya Azam, mashabiki wa Wekundu wamesema suala la ubingwa bado wakitaja michezo ya kuamua hatima ya taji msimu huu. Jana Simba ikiwa wenyeji wa Azam waliambulia sare ya mabao 2-2 na kufanya Yanga kuendelea kubaki kileleni kwa pointi 55 licha ya kutangulia…
DUNIA ya sasa kumpata mtu mwenye mapenzi ya dhati, mwenye moyo wenye huruma, anayejali na ambaye ana hofu ya Mungu kidogo huwa ni ngumu. Wengi ni matapeli, wengi si waaminifu. Mtu anakuwa na wewe lakini anakuwa na wengine wengi tu. Haheshimu hisia zako labda pengine wewe umejitoa kwa moyo wako wote, unaamini upo kwenye mikono…
Dar es Salaam. Kitendo cha baadhi ya askari wa usalama barabarani (trafiki) jijini Dar es Salaam kutumia fimbo kuwaadhibu madereva wa bajaji na bodaboda wanaokiuka sheria, ikiwamo kuingia kwenye barabara maalumu za Mabasi Yaendayo Kasi (BRT), kimezua mjadala miongoni mwa wananchi. Madereva wa bajaji na bodaboda wamedaiwa kukiuka Sheria ya Usalama Barabarani (Road Traffic Act,…
Baada ya takribani miezi nane kuwa nje ya ulingo, bondia wa ngumi za kulipwa Tanzania, Twaha Kassimu Rubaha maarufu Twaha Kiduku, ameibuka na kusema ukimya wake ulikuwa ni sehemu ya maandalizi ya kurejea kwa nguvu mpya na kufanyia kazi ushauri na matamanio ya mashabiki ili kuendana mahitaji ya soko la ngumi. Kiduku ambaye ni bondia…
Dar es Salaam. Kama ambavyo simulizi hii imeonyesha namna ambavyo wanawake wanalalamika kuachwa au kutelekezwa ili wadai talaka. Aina ya talaka iitwayo kwa dini ya Kiislamu Khului, ambayo mwanamke anarudisha gharama zilizolipwa na mwanaume wakati wanaoana ili apewe talaka (ajigomboe) zimeongezeka. Kwa mujibu wa idadi ya talaka zilizotolewa kwenye maadhimisho ya wiki ya sheria visiwani…
Dar es Salaam. Miongoni mwa wamachinga wakieleza sababu ya kumkataa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko na kufanya mgomo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Miongoni mwa sababu hizo ni kile walichodai hawana imani naye katika kushughulikia changamoto zao. Mzizi wa maandamano na mgomo wa wafanyabiashara katika soko hilo…
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Mhe. Ummy Mwalimu, tarehe 8 Septemba 2024 alifanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Mwanzange, akielezea utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya 2020-2025. Akiongozana na Diwani wa Kata hiyo, Mhe. Bakari Ali Mtavya, Mbunge Ummy alitoa taarifa juu ya hatua zilizochukuliwa kuhakikisha ahadi za…
Shinyanga. Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) katika Wilaya ya Shinyanga yamelalamikia baadhi ya vifungu vya sheria za kodi vinavyowalazimisha kulipa kodi kama kampuni za kibiashara, ingawa miradi yao inatoa huduma kwa jamii. Hayo yamebainishwa leo Desemba 13, 2025, na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya kiserikali (NaCoNGo) wilayani humo, Lucas Maganga, wakati…