Vifo vyafikia 42 ajali ya Same

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya kugongana uso kwa uso kwa magari mawili katika Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, imeongezeka na kufikia 42. Majeruhi wawili wa ajali hiyo bado wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, baada ya wengine 24 kuruhusiwa. Ajali hiyo ilitokea Juni 28, 2025, katika eneo…

Read More

Asilimia 31 ya watoto Mara wanabeba mimba

Tarime. Asilimia 31 ya watoto wenye umri kati ya miaka 15 – 19 katika Mkoa wa Mara wanapata mimba za utotoni, jambo linaloelezwa kuwa na madhara katika ustawi wa watoto na jamii nzima mkoani humo. Hayo yamebainishwa leo Agosti 22, 2024 mjini Tarime na Mratibu wa Huduma za Afya na Uzazi na Mtoto Mkoa wa…

Read More

Migogoro ya ardhi inavyozaa matukio ya jinai

Dar es Salaam. Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma amesema migogoro ya ardhi ndio inayozaa makosa mengi ya kijinai nchini, sambamba na kuwa chimbuko la changamoto katika uwekezaji, biashara na mirathi. Profesa Juma aliyasema hayo leo Jumatatu, Februari 3, 3035, alipozungumza katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Sheria, ambayo kitaifa yalifanyika katika Jiji la Dodoma,…

Read More

WAWEKEZAJI BINAFSI KICHOCHEO KATIKA MAPINDUZI NA USHINDANI WA SEKTA YA ELIMU -RAS MCHATTA

Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha SERIKALI  Mkoa wa Pwani ,imetoa rai kwa wawekezaji binafsi katika sekta ya elimu kuzingatia sheria katika ujenzi wa miundombinu bora na kuajiri walimu wenye sifa na vigezo ili kuchochea Mapinduzi makubwa katika sekta hiyo. Aidha, Serikali ya mkoa huo imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwaunga mkono wawekezaji wanaowekeza katika ujenzi wa shule…

Read More