TMA Stars yawapa ‘thank you’ kocha na wasaidizi wake

Klabu ya TMA Stars FC kupitia kwa Katibu wake Mkuu, Mbwana Hamad Mbwana  umetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Habibu Kondo pamoja na wasaidizi wake. Kupitia taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesema sababu za kusitisha mikataba yao ni kutokana na mwenendo mbaya wa timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. “Klabu ya…

Read More

EWURA YAIGALAGAZA NEMC MPIRA WA WAVU SHIMMUTA

  Pichani: Washambuliaji wa Timu ya EWURA (wenye jezi za bluu) wakishambulia timu pinzani wakati wa mchezo huo leo. MOROGORO.  Timu ya Mpira wa Wavu kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kung’ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMMUTA) baada ya kuichakaza timu ya Baraza…

Read More

Tano zaombeana mabaya BDL | Mwanaspoti

WAKATI timu zikiwa zimebakiza michezo miwili zikamilishe michezo 30  ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imeonekana ushindani utakuwa   kwa timu tano zinazopambana kujinasua zisishuke daraja. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 34, Mgulani JKT (33), Jogoo (33), Crows (32), Chui (29). Kati ya timu hizo,…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA YA TOSAMAGANGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Askofu wa Jimbo Katoliki  la Iringa , Tarcisius Ngalalekumtwa wakizundua  huduma ya mionzi  (CT SCAN) katika hospitali ya  Rufaa ngazi ya Tosamaganga mkoani Iringa, Julai 6, 2024. Kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, wa pili kulia ni Mkurugenzi wa hospital hiyo,  Padri Benjamin  Mfaume na kulia ni…

Read More

Mashabiki Simba waiganda ‘Thank you’ ya Jobe

Akufukuzae hakuambii toka. Ndiyo msemo unaoweza kuutumia kwa mshambuliaji wa Simba, Pa Omar Jobe, ambaye mashabiki wa klabu hiyo wameonyesha kiu kubwa ya kutamani kuona anaachwa. Simba wiki hii, imeanza kuwaaga wachezaji wake ambao hawatawahitaji msimu ujao, ikiwa tayari imeshawaaga wawili, aliyekuwa nahodha wake mshambuliaji John Bocco, Jumatatu Juni 17 na leo ikimuaga kiungo mshambuliaji…

Read More

Mfaransa kuamua kesi ya Yanga CAS

UONGOZI wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) umeipa ruhusa Yanga kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kupinga uamuzi wa kuahirishwa kwa mchezo wao dhidi ya Simba uliokuwa uchezwe Machi 08. Yanga inaona uamuzi huo haujaitendea haki ikidai hakufuata kanuni na ulilenga kuibeba Simba iliyotangaza kutokuwa tayari kucheza kwa vile ilizuiwa kufanya…

Read More

RAIS RUTO AAGIZA UCHUNGUZI WA KINA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Kenya, William Ruto, ameonyesha masikitiko yake makubwa kutokana na moto uliotokea katika Shule ya Msingi ya Hillside Endarasha, ambapo wanafunzi 17 wamepoteza maisha. Akizungumza kupitia mitandao ya kijamii, Rais Ruto ameeleza kuwa habari za tukio hilo ni “mbaya sana” na ameagiza mamlaka kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha moto huo. “Tunawaombea manusura…

Read More