Mndolwa ateta na wakandarasi Mkombozi

Mkurugenzi mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi Mkoani Iringa kuongeza kasi ujenzi wa miradi hiyo ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unanufaisha wakulima katika msimu ujao. Amewataka wakandarasi hao kuwa na mkakati wa kumaliza ujenzi wa miradi hiyo hadi kufikia mwishoni mwa Oktoba mwaka huu…

Read More

Profesa Mosha amtaja binadamu hatari sana

Arusha. Tafakari yangu ya leo itajikita katika mawazo ya watu wawili ambao ni Muft Ismael Menk na mwanamama Louise de Marillac. Muft Menk amesema: ‘’Moyo wangu una thamani hivyo kwamba hauwezi kuipa nafasi chuki na wivu ndani yake. Na mwanamama Louise de Marillac ameandika: ‘’Kama moyo wako haukujaa joto la upendo, wengine kando yako watakufa…

Read More

Mauaji ya visasi vya kifamilia yatikisa Katavi

Katavi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limeeleza mafanikio ya operesheni, doria, misako na hatua za kesi zilizofikishwa mahakamani ambapo watu 74 wanashikiliwa na jeshi hilo kwa makosa mbalimbali ikiwemo watu 12 kutuhuma kuhusika na mauaji ya wanafamilia. Akizungumza na vyombo vya habari leo Julai 5, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kaster Ngonyani…

Read More

Ulipo mtego wa Ahoua, Mpanzu Simba, Pantev atia neno

KWA kinachofanywa na Morice Abraham ndani ya kikosi cha Simba bila shaka Elie Mpanzu, Jean Charles Ahoua, Kibu Denis na Neo Maema wakizubaa tu imekula kwao. Unajua kwa nini? Kuna wakati nyota mpya huibuka kimyakimya, bila ya kelele nyingi, lakini ghafla inapochomoza, kila anayetazama anabaki na mshangao mkubwa, huo ndio ukweli unaoonekana sasa ndani ya…

Read More

Chaumma kinavyoibuka mbavuni mwa Chadema, wadau wafunguka

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kupata wanachama na uongozi mpya unaojumuisha waliokuwa makada wa Chadema na wanamuungano wa G55, wadau wa siasa wamesema hatua hiyo itaongeza ushindani katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu na kuchochea maendeleo ya demokrasia. Jana Jumatatu, Mei 19, 2025, kwenye mkutano wa…

Read More

Chama aaga Simba | Mwanaspoti

Kiungo fundi wa mpira, Clatous Chama amefunga rasmi ukurasa wake ndani ya Simba SC baada ya kutoa ujumbe wa kuaga kwenye kikosi hicho cha Msimbazi ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kujiunga na watani wao wa jadi na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC. Chama aliyeitumikia Simba kwa miaka Sita, ameishukuru klabu hiyo…

Read More

Hukumu rufaa Kocha Katabazi dhidi ya TFF yasogezwa mbele

Hukumu ya rufaa ya Kocha Listoni Katabazi dhidi ya  Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF), kupitia bodi yake ya wadhamini, sasa kutolewa Septemba 26, 2025. Hukumu hiyo ilipangwa kutolewa leo Agosti 4,2025 na Jaji Butamo Phillip aliyesikiliza rufaa hiyo. Hata hivyo imekwama kwa kuwa Jaji Phillip aliyepaswa kuisoma hukumu hiyo hakuwepo.Badala yake imeahirishwa na…

Read More