Waathirika wasimulia madhira nyumba zao 10 kuezuliwa Iringa

Iringa. Mvua kubwa zilizoambatana na upepo mkali zimeharibu nyumba 10 katika baadhi ya vijiji vya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, hali iliyosababisha uharibifu wa mali, huku baadhi ya familia zikikosa makazi ya muda. Wakizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo, Januari 29, 2026, Hezron Myengu, mmoja wa waathirika kutoka wilayani Mufindi, amesema kuwa upepo…

Read More

Tiseza yatua Shinyanga kuhamasisha uwekezaji

Shinyanga. Katika kuhamasisha uwekezaji wa ndani, Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imetua mkoani Shinyanga kwa lengo la kuhakikisha uwepo wa miundombinu ambayo itaondoa changamoto kwa mwekezaji. Hayo yamebainishwa leo Januari 29, 2026 na Meneja Uhamasishaji Uwekezaji wa Ndani kutoka Tiseza, Felix John, baada ya ukaguzi wa uwekezaji katika sekta ya…

Read More

Rais ateua wanne, yupo Naibu Gavana BoT

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wanne akiwemo Naibu Gavana, Utawala na Udhibiti wa Ndani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Januari 29, 2026 na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari…

Read More

REA KUWASAIDIA WABUNIFU WA JIKO BOMBA

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamewatembelea Wabunifu na wazalishaji wa majiko ya asili yaliyo boreshwa nakuongezewa bunifu zinazowezesha Nishati Safi (Rafiki Briquettes) kuwaka kwa ufanisi zaidi. Wakati wa ziara yao, waliambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Nishati (REA) Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu. Jackob Kingu ambaye alisisitiza vijana wabunifu kama Jiko Bomba kupewa…

Read More

Eliuter Mpepo, Uledi watimkia KMC

WASHAMBULIAJI, Eliuter Mpepo wa Singida Black Stars na Adam Uledi wa Transit Camp inayoshiriki Championship msimu huu, wataanza kuonekana na uzi wa KMC, baada ya kutua hapo kwa ajili ya kuongezea nguvu kwenye eneo la ushambuliaji. Mpepo aliyetamba na timu mbalimbali ikiwamo Mtibwa Sugar, alijiunga na Singida dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Trident ya…

Read More