DK.SAMIA ASISITIZA UCHAGUZI KUFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU, WANANCHI WAJITOKEZE KUPIGA KURA OKTOBA 29

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Urais kwa tiketi ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupigakura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika  Oktoba 29,2025 na kwamba hakutakuwa na vurugu kwani vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga kulinda amani. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Visiwa Zanzibar leo Septemba 20,2025…

Read More

Samia atoa msimamo akinadi sera zake Pemba

Pemba. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kusimamia amani na utulivu, huku akiwataka Watanzania kujitokeza bila woga Oktoba 29, 2025 kupiga kura kumchagua Rais, wabunge na madiwani. Amesema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Serikali imejitahidi kusimamia utulivu wa kisiasa, usalama na amani…

Read More

Chaumma yaahidi kujenga barabara ya Uvinza-Kasulu

Kigoma. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kujenga barabara ya lami kutoka Uvinza hadi Kasulu Mjini kupitia Kata ya Basanza, endapo atachaguliwa kuwa Rais Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 20, 2025, katika Kata ya Basanza, Mwalimu amesema barabara hiyo ni…

Read More

MRATIBU KAMPENI ZA CCM ZANZIBAR ATAJA SABABU ZA MSINGI ZINAZOTOSHA DK.SAMIA KUSHINDA KWA KISHINDO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV MRATIBU wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Mohamed Abood Mohamed ameeleza hatua kwa hatua sababu za Watanzania kumchagua Mgombea Urais Dk.Samia Suluhu Hassan kuchaguliwa kwa kura nyingi katika uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Miongoni kwasababu hizo ambazo zinafanya mgombea…

Read More

EU yatoa kauli barafu kilele cha Mlima Kilimanjaro

Moshi. Mabalozi 12 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa) na kueleza kuwa zinahitajika jitihada za makusudi kunusuru barafu ya Mlima Kilimanjaro, ambayo imeendelea kupungua kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza katika lango la Marangu, jana Septemba 19, 2025 wakati wa kuhitimisha ziara ya siku…

Read More

MO aweka pesa Coastal Union

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More

MO aweka pesa Coastal Unio,  yalamba dili la mwaka mmoja

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More