
DK.SAMIA ASISITIZA UCHAGUZI KUFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU, WANANCHI WAJITOKEZE KUPIGA KURA OKTOBA 29
Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupigakura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025 na kwamba hakutakuwa na vurugu kwani vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga kulinda amani. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Visiwa Zanzibar leo Septemba 20,2025…