Serikali kurejesha viwanda vilivyobinafsishwa na havijaendelezwa
Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali imeanza mpango wa kurejesha viwanda vyote vilivyobinafsishwa kwa zaidi ya miaka 15 bila kuendelezwa hatua ambayo itasaidia kuchochea uchumi wa Mkoa na kutoa fursa ya ajira kwa vijana. Babu ameyasema hayo leo wakati wa kikao cha Baraza la wafanyabiashara wa mkoa huo, kilichofanyika katika ukumbi…