Aliyehukumiwa kubaka mdogo wake aachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masilaja Ndogo ya Tanga imemuachia huru Hussein Athumani, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mdogo wake. Hussein alishtakiwa kwa kosa la ubakaji aliolidaiwa kutendwa mara mbili katika eneo la Amboni, mkoani Tanga. Jaji Happiness Ndesamburo, aliyesikiliza rufaa hiyo iliyokuwa imekatwa na Hussein, alitoa hukumu hiyo Septemba 11, 2025,…

Read More

Ishu ya utovu wa nidhamu, mastaa wakaa upande wa Aucho

UJUMBE wa kiungo raia wa Uganda, Khalid Aucho, aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram kupinga tuhuma za utovu wa nidhamu na kupewa adhabu ya kusimamishwa kwa miezi mitatu, umeibua hisia na mjadala mkubwa miongoni mwa mastaa wa soka wanaocheza na waliowahi kucheza Ligi Kuu Bara. Aucho, ambaye ni mchezaji wa Singida Black Stars, amesimamishwa pamoja…

Read More

Morocco: Tatizo sio mastraika, ni umaliziaji tu

“KILIO kikubwa kwenye kikosi cha Taifa Stars ni wachezaji kushindwa kutumia nafasi, hii ni kuanzia mwanzo wa mashindano ya CHAN hadi tumefikia tamati,” ndivyo anavyosema kocha wa timu hiyo ya taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman ‘Morocco’ alipozungumza na Mwanaspoti. Anasema: “Timu inajaribu kutengeneza nafasi lakini haiwezi kuzitumia, lakini mpira ni mchakato sio kitu cha kukifanyia…

Read More

NIRC YAWEKA KAMBI KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA John Bukuku Last updated: 2025/09/01 at 2:38 PM John Bukuku 4 hours ago Share

…………. NIRC:Nzega  Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanza uchimbaji wa visima 52 katika halmashauri nane za Mkoa wa Tabora. Ili kuwezesha wakulima wa maeneo hayo kuacha kulima kilimo cha mazoea ya kugemea msimu wa mvua na kujikita katika kilimo cha kisasa cha umwagiliaji. Katika kijiji cha Miguwa, visima vitakavyochimbwa vitamwagilia zaidi ya ekari…

Read More

Huduma mkoba yatua Songwe | Mwananchi

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Omari Makame amewapokea madaktari bingwa 30 wa Rais Samia watakaotoa huduma za matibabu kwenye hospitali tano za halmashauri za mkoa. Huduma zitakazotolewa ni pamoja na matibabu ya magonjwa njia ya uzazi na watoto, huduma za upasuaji wa kibobezi, utoaji wa dawa za usingizi, tiba ya magonjwa ya kawaida,…

Read More

Mahakama Kenya yazuia ujenzi wa kanisa Ikulu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini au hata jengo lolote lenye mafungamano na dini. Kwa mujibu wa…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AWASIHI VIONGOZI WA DINI. NA WATANZANIA KUIOMBEA NCHI,VIONGOZI WA SERIKALI NA VYAMA VYA SIASA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia mwezi wa toba wa Ramadhani na Kwaresma kuiombea Nchi, Viongozi wa Serikali na Vyama vya Siasa ili kujenga nchi moja yenye upendo na mshikamano. Makamu wa Rais, amesema hayo mara baada ya kushiriki…

Read More

Dk Nchimbi aitaka wizara ya maji kushirikiana na sekta binafsi kutatua changamoto ya maji

Morogoro. Makamu wa Rais Balozi, Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka menejimenti ya Wizara ya Maji kujenga ushirikiano na sekta binafsi ili kushughulikia changamoto za upatikanaji na upotevu wa maji, ili dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtua “mama ndoo kichwani” iweze kutekelezeka. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo wakati akifunga kilele cha maadhimisho ya Wiki ya…

Read More