Mambo matatu yaliyomnasua aliyekuwa RC Simiyu

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda baada ya kubainisha mambo matatu yanayoifanya mahakama hiyo kutomtia hatiani. Uamuzi wa kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024, yenye kosa la kulawiti, umesomwa leo Ijumaa Novemba 29, 2024 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Erick Marley. Upande…

Read More

Ndejembi aja kivingine kumaliza migogoro ya ardhi nchini

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Sh164.1 bilioni kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka 2025/26, fedha ambazo zitaelekezwa kwenye maeneo saba ya vipaumbele, yakiwamo mapambano dhidi ya migogoro ya ardhi nchini. Waziri wa wizara hiyo, Deo Ndejembi, leo Alhamisi Mei 29, 2025, amewasilisha bajeti hiyo bungeni jijini Dodoma. Awali, ilipangwa kujadiliwa…

Read More

Hawa wanambana Raheem KMC | Mwanaspoti

WIKI iliyopita, beki wa Kitanzania, Raheem Shomari alitambulishwa kwenye kikosi cha Ghazl El Mahalla ya Ligi Kuu ya Misri kwa mkataba wa miaka mitatu. Raheem anajiunga na timu hiyo ambayo aliwahi kuichezea Mtanzania mwenzake, Himid Mao, ambaye alicheza kwa kiwango kikubwa. Kwenye eneo la beki wa kushoto atakalocheza nyota huyo wa zamani wa KMC, kuna…

Read More

Nyoni aiota Top 5, Kabunda amtaja Mgunda

WAKATI nyota mkongwe wa Namungo, Erasto Nyoni akiweka bayana anavyotamani kuona timu hiyo ikipambana ili imalize katika Tano Bora ya Ligi Kuu Bara, mshambuliaji anayekipiga kwa Wauaji wa Kusini hao, Hassan Kabunda amemtaja kocha Juma Mgunda kama aliyewarejesha katika mstari. Namungo inashika nafasi ya tisa kwa sasa ikiwa na pointi 31 kwa kucheza mechi 27…

Read More

Maajabu mwamuzi wa Yanga, TP Mazembe

YANGA inaingia kambini leo kuendelea na maandalizi kabla ya kukutana na TP Mazembe, Jumamosi Januari 4, lakini tayari imepewa mwamuzi wa bahati atakayeamua mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Idara ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imewakabidhi waamuzi watatu kutoka Mauritius kusimamia sheria 17 kwenye mchezo huo wakiongozwa na…

Read More

Siasa za uhasama, chuki zinavyoitafuna Zanzibar

Kila ninapowasikia viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na wanasiasa wakihubiri umuhimu wa amani na utulivu ili maisha ya watu yawe salama na wapate maendeleo, huwa najiuliza maswali mengi. Miongoni mwayo ni hayo yanayozungumzwa yanatoka moyoni au ni ya mdomoni tu, kwa vile kinachofanyika ni tofauti na kinachopigiwa debe. Siku zinavyozidi kwenda kuuelekea…

Read More