Mkutano wa demokrasia: Suala la Katiba mpya bado moto

Dar es Salaam. Kilio cha Katiba bado hakijapoa. Mkutano wa siku mbili wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa,  umependekeza masuala mbalimbali ikiwemo kufanya mabadiliko madogo ya kikatiba sambamba na kuendelea na mchakato wa Katiba Mpya. Mapendekezo hayo yalisomwa jana na Buruani Mshale kutoka taasisi ya Twaweza katika mkutano wa kitaifa wa kutafakari na…

Read More

NACTVET WAKUTANISHA WADAU WA ELIMU ZAIDI YA 260 DODOMA

Na Okuly Julius, Dodoma   Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Adolf Rutayuga,leo tarehe 9 Mei,2024, jijini Dodoma, amefungua rasmi kikao cha wadau, kinachojumuisha Wakuu wa vyuo na maafisa udahili ambao jumla yao ni 267, kinachojadili masuala ya udahili na upimaji, ili kubaini dosari…

Read More

CHAN 2024: Uganda, Sauzi mmoja anatoka

BAADA ya makundi A na B kumaliza kazi na kutoa timu nne za kucheza hatua ya robo fainali, leo Jumatatu ni zamu ya Kundi C, huku wenyeji Uganda wakiwa na kibarua kizito mbele ya Afrika Kusini, kwani timu mojawapo ikizembea baada ya dakika 90 itaiaga michuano hiyo. Uganda na Afrika Kusini zinatarajiwa kuvaana katika mechi…

Read More

Mahakama yapokea vielelezo kesi ya mauaji ya Salome

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Fikiri Kapala na mwenzake Agustino Jumanne wanaodaiwa kumuua Salome Lukanya kwa kumkata na kitu chenye ncha kali. Kesi hiyo namba 2782 ya mwaka 2024 inasikilizwa na Jaji wa Mahakama hiyo, Griffin Mwakapeje. Vielelezo vilivyopokewa ni hati…

Read More

WANUFAIKA 08 MRADI WA FEEL FREE WASAINI MIKATABA YAO

WASANII 08 vya Wanufaika na Mradi wa mfuko wa fedha wa kuwawezesha Wasanii (FEEL FREE GRANTEES) kwa mwaka 2024 Wasaini rasmi Mikataba ya kupata fedha za miradi yao. Akizungumza na Wanahabari Ofisi za Taasisi ya Nafasi arts space Mikocheni Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji na Maendeleo ya Sanaa (BASATA) Edward Buganga…

Read More

Miloud Hamdi: Sasa Simba waje tu

YANGA kazi imerudi, kwani kama unakumbuka kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi alitamka hana ratiba na mchezo wa dabi dhidi ya Simba, lakini sasa amefungua faili la mechi hiyo, akisema ameshajulishwa juu ya uwepo wa mchezo na yupo tayari kuvaana na watani wa jadi hao hiyo Juni 25. Awali Yanga iliondoa ratiba ya maandalizi ya…

Read More

Rais Samia asisitiza kutekeleza 4R katika Muungano

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema katika kutekeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 Watanzania hawana budi kutekekeleza kwa vitendo falsafa ya 4R. Tangu ameingia madarakani Machi 19, 2021 Rais Samia amekuwa na falsafa yake ya R nne (4R) anazozitumia katika utawala wake. 4R maana yake ni maridhiano (Reconciliation),…

Read More