RC CHALAMILA ATANGAZA UUZAJI VIWANJA MABWEPANDE-KINONDONI

 -Asema Serikali imeshapima viwanja zaidi ya 2274. -Awataka wale wote waliovamia na kujenga kulipia viwanja hivyo mara moja kwa kuwa wamepunguziwa bei. Kufuatia maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kutaka waliovamia na kujenga kwenye eneo linalomilikiwa na shirika la maendeleo Dar es Salaam (DDC) lililopo Mabwepande kuuziwa viwanja…

Read More

Simba hiyooo, sasa kuivaa Nsingizini Hotspurs

SIMBA imefuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya jioni ya leo kulazimishwa sare ya 1-1 na Gaborone United ya Botswana, lakini imepenya kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1. Kufuzu kwa Simba kumetokana na ushindi wa bao 1-0 ilioupata ugenini wiki iliyopita ambao kwa matokeo ya mechi ya leo iliyopigwa Kwa…

Read More

Ushuru kwa ‘energy drink’ kupungua

Dar es Salaam. Serikali imepunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu ‘energy drink’, huku ikitoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia tano katika aisikrimu (lambalamba) na soseji zinazozalishwa nchini. Ushuru wa bidhaa ya vinywaji hivyo vinavyozalishwa ndani ya nchi, imepungua kutoka Sh561 kwa kila lita hadi Sh134.2 kwa kila lita….

Read More

Rais wa Yanga ashinda tuzo Ufaransa

Na Mwandishi Wetu Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said, ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya soka barani Afrika. Sherehe ya utoaji tuzo hizo za ‘Nigeria-France Sports Awards,’ zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na…

Read More

Siri ya Maxi, Simba yafichuka

KIPYENGA cha usajili tayari kimepulizwa. Kikimaanisha kwamba klabu mbalimbali zimeingia sokoni kusaka nguvu mpya tayari kwa msimu ujao wa michuano mbalimbali. Yanga, Simba pamoja na Azam na Singida Black Stars ni miongoni mwa timu zilizowekeza nguvu kubwa kwenye usajili zikiangalia zaidi ushiriki wao kimataifa msimu ujao. …

Read More

Wenye ulemavu kukutana kujadili changamoto, fursa Kilimanjaro

Moshi. Wakati watu wenye ulemavu wakikumbana na changamoto za unyanyapaa katika baadhi ya familia, jamii imetakiwa kuwathamini, kuwasikiliza, na kutowafanya wapweke, bali kuwaonyesha upendo kama ilivyo kwa watu wengine. Kutokana na hali hiyo, Mkoa wa Kilimanjaro kupitia shirika lisilokuwa la kiserikali la New Life Foundation, litawakutanisha wenye ulemavu kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa huo Februari…

Read More