ZAIDI YA 1000 KUHUDHURIA MKUTANO WA NYAMA YA NGURUWE DAR

ZAIDI ya wajumbe 1,250 wa kimataifa na ndani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano mkuu wa sekta ya nguruwe barani Afrika unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 11 hadi 13, mwaka  Mkutano huo utafanyika Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, kuzungumzia  hatua muhimu kwa sekta ya ufugaji wa nguruwe inayokuwa kwa kasi nchini. Mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

Mechi ya kisasi ipo Mkwakwani

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kuanzia saa 1:00 usiku na wenyeji Coastal Union iliyoanza na ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, itakuwa na vita kali na maafande wengine wa JKT Tanzania walioanza kwa sare ya 1-1. Coastal ilianza Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa bao…

Read More

Museveni achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa EAC unaofanyika katika…

Read More

Yajue mambo yanayoharibu saumu | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika Makala iliyopita tuliangazia sababu zinazoruhusu mtu Kisharia kufungua mchana wa Mwezi wa Ramadhani, ambapo tulibainisha sababu tatu, ambazo ni kusafri safari ya halali, ukongwe na kuumwa. Makala hii ni mwendelezo… Mwanamke mwenye hedhi au nifasi ni haramu kwake kufunga. Na akifunga saumu yake si sahihi. Mtume (Rehema na amani zimshukie) amesema:…

Read More

Haji Manara Azungumzia Mchango wa Ssebo Kwenye Tasnia ya Habari ‘Tumepoteza Mtu Muhimu’ – Video

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo mkubwa wa kusaidia watu na aliyependa kuwa karibu na jamii enzi za uhai wake. Manara amesema Ssebo alikuwa mtu mwenye upendo na mshikamano mkubwa, ambaye alijenga urafiki na…

Read More

PAWA Kuzindua Kitabu Kipya Kinachomuenzi Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli

CHAMA cha Waandishi wa Afrika (Pan African Writers Association – PAWA) kinatarajia kuzindua kitabu kipya kinachomuenzi aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Conakry yatakayofanyika Aprili 2026 nchini Guinea Conakry. Chapisho hilo linaadhimisha maisha na uongozi wa Magufuli kufuatia kifo chake tarehe 17 Machi 2021,…

Read More