WASIRA AKERWA NA WANAOTUKANA MITANDAONI KWA KISINGIZIO CHA UHURU WA KUTOA MAONI

Na Mwandishi Wetu,Songea  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uwepo wa demokrasia na uhuru wa kutoa maoni sio ruhusa ya kuvunja sheria, kutukana watu na kwamba anayefanya hivyo anastahili kuchukuliwa hatua ikiwemo kukamatwa na kuhojiwa polisi. Amesema lengo la uhuru ni kutoa maoni na kufuata sheria ambazo zimewekwa kuifanya…

Read More

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya amefunga mashindano ya Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha kwa kuwakabidhi makombe ya ushindi wanamichezo walishinda katika michezo mbalimbali naoshiriki kwenye michezo hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hafla hiyo imefanyika tarehe 29 Aprili 2024 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini…

Read More

KATIBU MKUU WA NLD AZINDUA RASMI KAMPENI HANDENI, ATOA WITO KWA VIONGOZI VYAMA VA SIASA KUFANYA SIASA ZA KISTAARABU

Na Oscar Assenga,HANDENI. KATIBU Mkuu wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amezindua rasmi kampeni za wagombea wa chama hicho kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Kwedukwazu wilayani Handeni huku akitoa wito kwa viongozi wa chama hicho hapa nchini wafanye siasa za kistaarabu ambazo haziendi kutweza utu wa mtu. Uchaguzi huo unatarajiwa…

Read More

Kuna Maxi Nzengeli mmoja tu Yanga

BEKI wa kushoto wa FC Augsburg, Mads Pedersen ambaye msimu uliopita wa mashindano Ujerumani alicheza michezo 27 ya Ligi Kuu (Bundesliga) na moja ya Kombe la DFB-Pokal, ameukubali mziki wa winga Mkongomani wa Yanga, Maxi Nzengeli katika mchezo wa kirafiki ambao timu hizo zilikutana katika michuano ya Mpumalanga Premiers huko Afrika Kusini, mwishoni mwa wiki….

Read More

Ahoua, Kibu wafunika, Simba ikiifyatua Dodoma jiji

TUSIZOEANE. Ni kama onyo kali vile ilichofanya Simba jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwa kuweka rekodi ya kibabe huku wakipunguza utofauti wa pointi kati yao na Yanga ambao wanakimbizana nao kwenye vita ya ubingwa. Simba iliyofikisha pointi 57, moja pungufu na ilizonazo Yanga yenye 58 kileleni zote…

Read More