Tanzania yaja na sera mpya ya uchumi wa buluu
Dar es Salaam. Ili kuhakikisha sekta ya uchumi wa buluu inagusa maisha ya watu kwa vitendo, Serikali imeanzisha sera mpya ya uchumi wa buluu nchini iliyo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais. Sera hiyo imeanzishwa ili kuhakikisha sekta hiyo mpya ambayo ndiyo uelekeo wa nchi nyingi inaongozwa kwa utaratibu wa kisera na sheria. Hayo…