Kauli za Msigwa zilizomuibua Mbowe kudai fidia ya Sh5 bilioni

Tanga. Uamuzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kutangaza nia ya kumburuza mahakamani Mchungaji Peter Msigwa kutokana na kauli dhidi yake, umemwibua mchungaji huyo akisisitiza baadhi ya kauli hizo, na kuwa yuko tayari kukutana naye mahakamani. Mchungaji Msigwa alijivua uanachama wa Chadema Juni 30, 2024 na kuhamia CCM na tangu…

Read More

Uganda, Niger kazi ipo Kampala

UHONDO wa fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 unaendelea leo Jumatatu kwa mechi mbili za Kundi C zitakazopigwa jijini Kampala, mapema saa 11:00 jioni Afrika Kusini itajiuliza mbele ya Guinea, ilihali saa 2:00 usiku wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya Niger. Bafana Bafana iliyoanza michuano hiyo kwa sare ya 1-1…

Read More

Tanzania, Kenya zaiomba FIA kunusuru ARC

TANZANIA imeunga mkono ombi la Kenya linalokitaka Chama cha Mbio za Magari Duniani (FIA) kupunguza ada ya kibali cha kuandaa mbio za ubingwa wa Afrika sambamba kuwadhamini madereva wanaoshiriki katika raundi zote za mashindano haya. Rais wa Chama cha Mbio za Magari Tanzania (AAT), Nizar Jivani alisema  ni kweli kuna mchakato wa kuyanusuru mashindano ya…

Read More

NIDA YATOA RAI KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUFANYIWA MABADILIKO YA TAARIFA KUPITIA KIBALI MAALUM CHA MWAKA MMOJA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Novemba 27, 2025. Na kusisitiza kuwa  mabadiliko ya taarifa ni sehemu ya huduma za msingi zinazotolewa na NIDA kwa watu waliopo kwenye mfumo wake, lakini kwa muda mrefu baadhi ya maombi yalishindwa kufanyiwa kazi kutokana…

Read More

Vijana chuo kikuu wabuni mradi kujiajiri wakiingiza kipato Sh133 milioni

‎Iringa. Katika mazingira yenye ushindani wa ajira na changamoto za kiuchumi, kikundi cha Vijana wa Iringa kimeanzisha mradi wa kisasa wa usindikaji mvinyo chini ya kampuni LordFather inayoundwa na Kassim Mgambo, Irene Mdegipala, Lukelo Mallumbo, Naomi Fedrick na Marry Mallumbo. ‎Akizungumza na Mwananchi Digital Agosti 27, 2025, Katibu wa Kampuni ya Lord father, Kassim Mgambo…

Read More

Masawe, Kipenye wazamisha jahazi la Dodoma Jiji

MABAO mawili ya nyota wa Namungo, Jacob Masawe dakika ya 75 na Cyprian Kipenye dakika ya 82, yametosha kuipatia ushindi timu hiyo wa 2-0, dhidi ya Dodoma Jiji, katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa leo Novemba 21, 2025 kwenye Uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi. Katika mechi hiyo, ilishuhudiwa wachezaji waliotokea benchi wakiamua ushindi kwa…

Read More