DIRA YA MAFANIKIO YA TAIFA – MHANDISI KABUNDUGURU

……………… 📌Aeleza Mkakati huo ni mwongozo wa kitaifa kwa wadau wote 📌Atoa wito kwa Maafisa dawati kuwa chachu ya mabadiliko ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Taasisi zilizo chini ya Wizara zaeleza zinavyotekeleza mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia 📍MWANZA Imeelezwa kuwa Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia…

Read More

Kasaka Achukua Fomu Ubunge wa Afrika Mashariki

Kada wa Chama Cha Mapinduzi  Chikukupi Njelu Kasaka akizungumza na wananchi na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa wa Afrika Mashariki ndani ya Chama hicho ,Katika Ofisi Ndogo Lumumba Jijini Dar es Salaam. Kada wa Chama Cha Mapinduzi  Chikukupi Njelu Kasaka akikabidhiwa fomu ya kugombea ubunge wa Afrika Mashariki …

Read More

Mjue bosi mpya wa Tanesco, kibarua kinachomsubiri

Dar es Salaam. Huenda watu wengi wanahoji iwapo Lazaro Twange anaweza kumudu nafasi aliyopewa ya mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Hiyo ni kutokana na wengi kumfahamu baada ya kuhudumu kama mkuu wa wilaya mbalimbali ikiwemo Babati, Mkoa wa Manyara alipoanzia kabla ya kuhamishiwa Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye Ubungo, Dar es…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR, DKT. MWINYI AONGOZA HAFLA MAALUM YA SHUKRANI YA “UZAZI NI MAISHA” KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO

 Zanzibar: Katika jitihada za kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameongoza hafla maalum ya Shukrani ya “Uzazi Ni Maisha”, Oktoba, 04  2024 Ikulu Mjini Zanzibar.  Tukio hilo, ambalo limefanyika likiwakilisha awamu ya tatu ya program ya Uzazi Ni Maisha chini ya kauli mbiu “Changia Vifaa…

Read More