Mtanzania avumbua jukwaa kuifanya Tanzania kitovu cha usafirishaji kikanda

Katika zama ambazo dunia inakimbilia kidijitali, Tanzania nayo imeanza safari ya kujenga mifumo bunifu inayoweza kuifanya kuwa kitovu cha biashara na usafirishaji wa mizigo katika Afrika Mashariki. Kupitia CargoLink, jukwaa la kisasa la usafirishaji wa mizigo lililobuniwa na kijana Mtanzania, Azizi Omary Chamani, sekta hiyo (logistics) inatarajia kupata msukumo mpya wa kuongeza ufanisi zaidi, uwazi…

Read More

Chamou atuliza presha Simba SC

BEKI wa Simba Chamou Karaboue amewashusha presha mashabiki wa klabu hiyo, hata kama Che Malone Fondoh hatakuwepo lakini amejipanga vizuri kuhakikisha anaendeleza ubora kwenye ukuta wa timu hiyo. Chamou ambaye alitua Simba msimu huu, amekuwa miongoni mwa mabeki ambao hawapati muda mwingi wa kucheza, baada ya kukuta mastaa wanaokiwasha zaidi yake katika maeneo hayo. Simba…

Read More

Kimbunga Hidaya chaua 5, kaya 7,027 zikikosa makazi

SERIKALI imetoa tathmini ya athari za kimbunga Hidaya, kilichotokea tarehe 3 Mei 2024, ikisema wananchi wa wilaya kadhaa zilizoko katika Pwani ya Bahari ya Hindi, waliathirika zaidi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Tathmini hiyo imetolewa leo tarehe 9 Mei 2024, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliyetaja wilaya zilizoathirika zaidi ikiwemo Mafia,…

Read More

Galaxy AI Now Supports More Languages with Latest Update – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Samsung Electronics Co., Ltd. today announced the upcoming expansion of three new languages for Galaxy AI: Arabic, Indonesian, and Russian, as well as three new dialects: Australian English, Cantonese, and Quebec French. In addition to the 13 languages[1] already available, Samsung empowers even more Galaxy users around the world to harness the power of mobile AI. In addition to these new languages and…

Read More

ATCL yatangaza ajira 173 | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika hatua za kutanua wigo wa utoaji huduma kwenye sekta ya anga Shirika la Ndege la Taifa la Tanzania, (ATCL) limetangaza nafasi za ajira 173. Shirika hilo linalomilikiwa na Serikali linatafuta marubani wapya, wahudumu wa ndege, na wafanyakazi wa ardhini kama sehemu ya utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano (2022/23–2026/27). Mpango…

Read More