Upelelezi wakwamisha kesi ya Boni Yai

  JOPO la Mawakili linalomtetea Boniface Jacob ‘Boni yai’ aliyekuwa Meya wa Manspaa ya Ubungo linaloongozwa na wakili Peter Kibatala umeitaka upande wa Jamhuri kukamilisha upelelezi wa kesi ya kuchapisha taarifa za uongo inayomkabili ‘Boni yai’. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yamejiri leo tarehe 21 Novemba katika Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

Mabosi TAKUKURU, NIDA, Ikulu waguswa panga pangua ya Samia

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwemo uteuzi wa katibu tawala wa mkoa na naibu makatibu wakuu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa na kuhamishwa vituo vya kazi ni pamoja…

Read More

Airtel Tanzania Yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 kwa Kujizatiti Upya kupitia Kaulimbiu ya “Mteja Kwanza”

Dar es Salaam, Oktoba 2025. AIRTEL Tanzania imeungana na mataifa katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya mwaka 2025, chini ya kaulimbiu “Mission Possible” (Dhamira Inawezekana). Kaulimbiu hii inaendana kwa karibu na falsafa ya Airtel ya “Mteja Kwanza”, ambayo imeendelea kuwa mwongozo katika kila hatua na uamuzi wa kampuni hiyo, ikilenga kuboresha huduma na…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More

Uhamiaji yafafanua nyota Singida BS kupewa uraia Tanzania

Idara ya Uhamiaji imethibitisha kwamba wachezaji watatu wanaocheza Singida Black Stars, Emmanuel Kwame Keyekeh (Ghana), Josephat Arthur Bada (Ivory Coast) na Mohamed Damaro Camara (Guinea) wamepewa uraia wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Uhamiaji ni kwamba Keyekeh, Bada na Camara waliomba na kupewa uraia kwa mujibu wa vifungu vya 9 na…

Read More

Mkuu wa UN ‘alihuzunika sana’ kwa kuharibiwa mafuriko ya Texas kama ushuru unapita 80 – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu na msemaji wake, António Guterres alisema alikuwa “Inasikitishwa sana na upotezaji mbaya wa maisha, haswa ya idadi kubwa ya watoto,“Wakati wa kile ambacho kilipaswa kuwa wakati wa sherehe. Ijumaa, 4 Julai, alama ya Siku ya Uhuru huko Merika – wakati ambao familia na jamii zinakusanyika kwa sherehe za nje. Katibu Mkuu…

Read More

Mahinyila: Haikuwa sawa kuwapambanisha Mbowe, Lissu wakati huu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema japo chama hicho kimepita salama kwenye uchaguzi wa ndani, lakini haikuwa sawa kuwashindanisha aliyekuwa mwenyekiti Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa sasa, Tundu Lissu. Amesema mvutano huo ulikiweka chama majaribuni hasa wakati huu ambao nchi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu….

Read More