Yassin Mustafa mali ya Coastal

ALIYEKUWA beki wa TRA United, Yassin Mustafa ameanza mazoezi na Coastal Union baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja akiwa mchezaji huru. Beki huyo amerudi Coastal Union kwani tayari alishawahi kupita hapo miaka ya nyuma lakini pia amecheza Polisi Tanzania, Stand United, Mwadui United, Mtibwa Sugar na Yanga. Akizungumza na Mwanaspoti, Mustafa alisema: “Nimefika huku…

Read More

MAB YATETA NA WADHIBITI MUTUKULA OSBP

 :::::::::: Mwenyekiti Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TMDA (MAB), Bw. Eric Shitindi amekutana na wasimamizi wa sheria mbalimbali katika kituo cha Mpaka cha Mutukula, Kagera tarehe 29 Januari, 2026 na kuteta kuhusu masuala ya udhibiti wa bidhaa za dawa na vifaa tiba katika kituo hicho. Akizungumza na watendaji hao, Mwenyekiti alisema lengo la zuara…

Read More

DKT.JAFO HAPOI,APAMBANIA BARABARA YA LAMI MLANDIZI-MZENGA-BOGA

  Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akiuliza swali la nyongeza leo Januari 29,2026 bungeni jijini Dodoma. Na.Alex Sonna, Dodoma Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mlandizi–Mzenga–Maneromango kwa kiwango cha lami, akisisitiza kuwa ni barabara muhimu…

Read More

Familia ya Lissu yatoa kauli fedha za mchango zilizopigwa

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Polisi wa Mkoa wa Arusha kutangaza kumshikilia Fredrick Mbwambo kwa tuhuma za wizi wa fedha za mchango wa Tundu Lissu, mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), familia ya mwanasiasa huyo imeeleza ilivyokuwa. Familia hiyo imesema suala la wizi huo halihusishi viongozi wa juu wa Chadema, bali…

Read More

Libase Gueye aanza na moto, Simba ikiichapa Mashujaa 2-0

LIBASE Gueye, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Bara ndani ya Simba akicheza dhidi ya Mashujaa, amefanikiwa kufunga bao, huku akionyesha kiwango kilicholeta matumaini mapya ndani ya kikosi hicho katika ushindi wa mabao 2-0. Winga huyo ambaye Januari 17, 2026 alitambulishwa kuwa mchezaji wa Simba akitokea Teungueth FC ya kwao Senegal, alifunga bao hilo dakika…

Read More

RAIS SAMIA AMEMTEUA DKTCHAN’GA KUWA MKURUGENZI MKUU WA TMA

 ::::: Rais wa Tanzania amefanya uteuzi wa Viongozi mbalimbali,ambapo amemteua Dkt Ladislaus Benedict Chang’a kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ambaye kabla alikuwa akikaimu nafasi hiyo.  Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka pia imeeleza kuwa Rais Dkt Samia amemteua Dkt Rahma Salim…

Read More