BI.ERICA YEGELLA ATOA MAFANIKIO YA SIKU 100 YA ZA AWAMU YA SITA.
Mkurungenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya Bi. Erica Yegella amekutana na waandishi wa Habari jijini Mbeya kutoa taarifa ya mafanikio ya serikali ya awamu ya sita katika kipindi cha siku 100 ndani ya halmashauri hiyo. Ameyabainisha hayo wakati akizungumza na waandishi wa Habari wilayni humo ambapo amesema lengo la ni kuujulisha umma kuhusu utekelezaji…