EU yatoa kauli barafu kilele cha Mlima Kilimanjaro

Moshi. Mabalozi 12 kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa) na kueleza kuwa zinahitajika jitihada za makusudi kunusuru barafu ya Mlima Kilimanjaro, ambayo imeendelea kupungua kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza katika lango la Marangu, jana Septemba 19, 2025 wakati wa kuhitimisha ziara ya siku…

Read More

MO aweka pesa Coastal Union

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More

MO aweka pesa Coastal Unio,  yalamba dili la mwaka mmoja

COASTAL Union ya Tanga, mapema leo imeingia makubaliano ya mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya Mo Taifa kama mdhamini wa timu hiyo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Masoko ya kampuni hiyo, Fatema Dewji amesema sababu ya kuidhamini Coastal ni pamoja na ubora na ushindani unaoendelea kuonyeshwa na timu hiyo katika…

Read More

Ripoti za madhara ya dawa, chanjo zafikia 10,000

Mwanza. Idadi ya ripoti za maudhi na madhara yatokanayo na matumizi ya dawa, chanjo, vifaa tiba na vitendanishi nchini imeongezeka kwa kasi, kutoka ripoti 200 mwaka 2020 hadi zaidi ya 10,000 kwa mwaka, kwa mujibu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA). Kwa mujibu wa TMDA, ongezeko hilo linatokana na uhamasishaji uliofanyika kwa watumiaji na…

Read More

Goti la uchumba la mwanamume mjadala mpana

Dar es Salaam. Ilikuwa siku ya furaha, lakini tukio la Steven Mabula, kupiga goti mbele ya Marietha Lazaro alipomvisha pete ya uchumba, lilitia doa hafla hiyo. Wapo walioelewa ishara ya tukio hilo, lakini haikuwa hivyo kwa baba wa Steven. Aliamini kijana wake amekiuka misingi ya mila na desturi. “Nilipiga goti bila kufahamu ishara hiyo ina…

Read More

Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yatajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More