
Korti kuu Kenya yakataa kuzuia mjadala wa kumng’oa Gacguagua – DW – 15.10.2024
Mahakama Kuu ya Kenya Jumanne ilikataa ombi la wanasheria wa naibu wa rais la kuzuia BAraza la seneti kuanzisha mjadala wa hoja ya kumng’oa madarakani baada ya bunge kupiga kura ya kumwondoa ofisini wiki iliyopita. Jaji Chacha Mwita aliamua kwamba bunge litaruhusiwa kuendelea na jukumu lake la kikatiba na mahakama haitajihusisha katika mchakato huo. Hoja…