Maafisa wa Umoja wa Mataifa wanaangazia hatari ya kuwaondoa askari wa kulinda amani – Global Issues

Sima Bahous, Mkurugenzi Mtendaji wa UN Womenambayo inatetea usawa wa kijinsia duniani kote, aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalama kwamba upunguzaji unafanywa na baadhi ya serikali licha ya kuongezeka kwa migogoro na ukosefu wa usalama. “Inapingana na ukweli kwamba, katika kukabiliana na viwango vya migogoro na vurugu ambavyo havijawahi kushuhudiwa, idadi ya askari wa kulinda…

Read More

Kagawa aziingiza nne vitani | Mwanaspoti

BAADA ya kupewa mkono wa kwaheri na Kagera Sugar, Ally Ramadhan ‘Kagawa’ ameziingiza vitani timu nne zikiwemo Geita Gold na Ken Gold zikiwania kupata huduma yake kwa msimu ujao. Kagawa ni miongoni mwa wachezaji 10 walioachwa na Kagera Sugar kwenye usajili unaoendelea baada ya kumaliza mkataba, wengine ni Gasper Mwaipasi, Abiud Mtambuku, Dickson Mhilu, Saidy…

Read More

Majaliwa: Chunguzeni watoto wenye usonji mapema

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya kuongeza vituo vya huduma za uchunguzi na utambuzi wa mapema wa ugonjwa wa usonji na matatizo mengine yanayoweza kubainika, watoto wanapohudhuria kliniki kila mwezi. Wakati kati ya watoto 160 mmoja ana usonji, takwimu za kwenye vituo vya huduma za afya na shuleni…

Read More

WADAU WA UJENZI WASHAURIWA KUTUMIA MAABARA ZA TARURA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Wadau wa ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara, madaraja, makalavati na majengo nchini wameshauriwa kutumia Maabara za TARURA ambazo zipo katika MIKOA 11 nchini ili kujenga miundombinu yenye ubora Rai hiyo imetolewa na Fundi Sanifu Mkuu wa Maabara ya TARURA Bw. Jacob Manguye wakati akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika Banda la…

Read More