KONA MALOTO: Ukimsikiliza Lissu kwa makini utamwomba msamaha Magufuli

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tanzania Bara, Tundu Lissu, anakabia juu katika kinyang’anyiro cha uenyekiti wa chama chake. Anahakikisha Mwenyekiti aliye ofisini kwa sasa, Freeman Mbowe, hapati nafasi na yeye ya kuanzisha mashambulizi. Kilele cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema ni Januari 21, 2025. Mbowe anapambana kujibu hoja katika mfululizo wa mahojiano na vyombo vya habari….

Read More

EPZA YAHAMASISHA WAWEKEZAJI WANDANI KUTUMIA FURSA WALIZONAZO

  Na; HUGHES DUGILO, DODOMA Serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji EPZA imeendeleza jitihada zake za kuhakikisha wawekezaji wazawa wanapata fursa ya kuzalisha bidhaa zinazokidhi soko la nje ili kuiongezea nchi pesa za kigeni. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa uhamasishaji wa EPZA BI. Nakadongo Phares, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kwenye Maonesho ya Kimataifa…

Read More

Baleke, Boka wakoleza moto Yanga

YANGA kesho jioni itakuwa uwanjani kuvaana na Kagera Sugar, huku kocha wa kikosi hicho akichekelea kurejea uwanjani kwa mshambuliaji, Jean Baleke pamoja na beki Chadrack Boka walikosekana katika mechi nne zilizopita zikiwamo mbili za Ngao ya Jamii na za Ligi ya Mabingwa Afrika ikiing’oa Vital’O ya Burundi. Baleke alikosekana katika mechi nne wakati Boka alikosa…

Read More

NITAWATUMIKIA WANA SIMANJIRO BILA UBAGUZI – OLE MILLYA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MGOMBEA ubunge wa Simanjiro mkoani Manyara, kupitia CCM wakili msomi, James Ole Millya amesema endapo atapewa nafasi hiyo atawatumikia wakazi wa eneo hilo bila ubaguzi wowote. Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya CCM uliofanyika mji mdogo wa Orkesumet, Ole Millya ameomba achaguliwe kwani yeye ni mtumishi wao. Amesema hivi sasa yeye…

Read More

Beki Al Ahli Tripoli amuomba radhi Deborah Simba

Beki wa Al Ahly Tripoli ya Libya, Thienry Manzi amemuomba radhi kiungo wa Simba, Deborah Fernandez, baada ya kumuumiza kwenye mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya mtoano. Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili ambapo Manzi alionekana kumkanyaga Deborah baada ya wawili hao kuangushana wakati wanawania mpira. Kwenye tukio hilo licha ya…

Read More

Madereva 42 wakiwepo wa masafa marefu wamefungiwa leseni

Mbeya. Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya limezifungia leseni 42 za madereva, wakiwemo madereva wa masafa marefu, baada ya kubainika kukiuka sheria na kanuni za usalama barabarani kwa kuendesha kwa mwendo hatarishi. Hatua hiyo imechukuliwa kama sehemu ya mkakati wa kupambana na ajali za mara kwa mara, kwa kutumia mfumo wa…

Read More