Headlines

Unafuu gharama za tiba, dawa za saratani waja Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania imeingia makubaliano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani itakayosaidia kutoa mafunzo kwa wataalamu wa tiba mionzi ikiwemo upatikanaji wa dawa kwa gharama nafuu. Mradi utatoa fursa kwa ajili ya tafiti katika huduma za saratani, kuimarisha miundombinu na kuwezesha upatikanaji wa dawa za saratani kwa gharama nafuu…

Read More

WAZIRI MAVUNDE  ASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WADAU WA MADINI NCHINI

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Aprili 22, 2024 jijini Dodoma amekutana na wafanyabiashara wa madini na wachimbaji wa madini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili kwenye shughuli zao ikiwemo changamoto ya ukosekanaji wa teknolojia ya uchenjuaji wa baadhi ya madini na hivyo kuielekeza Tume kuandaa utaratibu sahihi wa usafirishaji wa madini yaliyongezwa thamani…

Read More