Vyama vya upinzani vinavyosuasua kufanya kampeni

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu zimefikia siku ya saba, huku wagombea urais wa baadhi ya vyama vya siasa wakisuasua kufanya mikutano ya kampeni kwa kile wanachodai wapo kwenye mipango ya kuibuka kwa kishindo. Pamoja na mikakati hiyo ya kuibuka kwa kishindo, suala la ukata nalo wamelitaja kuwa miongoni mwa sababu za…

Read More

Mikakati mipya ya Baresi KMC

KOCHA wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, amesema mechi tano zijazo za Ligi Kuu Bara kwa kikosi hicho zitakuwa za uamuzi mgumu wa kuamua hatima yao, japo jambo nzuri kwao kama benchi la ufundi ni kuona ratiba hiyo itaanza kuanzia mwezi ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Baresi alisema kutokuwa na mechi yoyote kwa mwezi huu ni jambo…

Read More

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWAJIBU WANAOSEMA CCM INABEBA WATU NA MAGARI KUJAZA UWANJA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hasan amewajibu wanaosema Chama hicho kinabeba wanachama wake kwenye magari kuwapeleka katıka mikutano ya kampeni zake ambapo amesema siyo shida wala siyo aibu kuwasafirisha wanaokwenda katika mikutano. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya Rungwe mkoani Mbeya wakati wa mkutano…

Read More

FCC: Wazalishaji wa Vifaa vya Ujenzi Walinde Haki za Walaji

Tume ya Ushindani (FCC) imesema wazalishaji wa vifaa vya ujenzi wana wajibu wa kumlinda mlaji kwa kuhakikisha wanazalisha na kuuza bidhaa zenye ubora unaolingana na thamani ya fedha anayolipa mnunuzi. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina kwa wazalishaji wa vifaa vya ujenzi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mlaji Duniani yenye kauli mbiu isemayo…

Read More

WAHANDISI WANAOKIUKA MAADILI KUCHUKULIWA HATUA: ULEGA

::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuwachukulia hatua za kinidhamu na kutopewa kazi nyingine wahandisi wasiofanya kazi zao kwa uadilifu na wasiozingatia viapo na miiko ya taaluma yao. Ameeleza hayo Septemba 26, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifunga maadhimisho ya 22 ya Siku ya Wahandisi Tanzania ambayo…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

Gamondi, Maximo uso kwa uso Kagame

KWA mara ya kwanza makocha, Marcio Maximo wa KMC na Miguel Gamondi wa Singida Black Stars watakutana Ijumaa ya Septemba 12 katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kila mmoja kutinga kibabe hatua hiyo. Makocha hao wenye historia ya aina yake kwenye soka la Tanzania, wameziongoza klabu hizo…

Read More