Ushindi wampa jeuri Maximo | Mwanaspoti

KOCHA wa KMC, Márcio Máximo amesema ushindi wa mabao 3-2 walioupata dhidi ya Mlandege katika mechi yao ya kwanza wa mashindano ya Cecafa Kagame ni sehemu ya mchakato wa kukijenga zaidi kikosi hicho. Máximo alieleza alifurahishwa na nidhamu ya wachezaji wake kwa dakika 80 za mwanzo, lakini alikiri dakika 10 za mwisho walipoteza umakini na…

Read More

Wasaka ubunge majimbo ya Mwanza wakoleza joto

Mwanza. Haikuwa na haitakuwa kazi rahisi hata kidogo! Huo ndio usemi unaofaa kuelezea hali ya kisiasa, hasa nafasi za ubunge katika majimbo ya Nyamagana, Ilemela, Sengerema na Buchosa ambayo ni sehemu ya majimbo manane ya uchaguzi mkoani Mwanza. Ugumu wa uchaguzi mwaka huu unaanzia kwenye mchakato wa uteuzi ndani ya vyama kutokana na mwamko wa…

Read More

MAANDALIZI YA MKUTANO WA 26 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC YAANZA JIJINI LUSAKA

Mbali na Balozi Shelukindo, viongozi wengine kutoka Tanzania wanaoshiriki Mkutano wa Makatibu Wakuu ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Faraji Mnyepe, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda, Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Mhe. Lt. Jen. Mathew Mkingule, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na…

Read More

Dk Nchimbi ahitimisha kampeni Tabora akiahidi viwanda

Tabora. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amehitimisha siku tatu za kampeni mkoani Tabora huku akiahidi ujenzi wa viwanda vya utafiti wa mbegu za kilimo, tumbaku na cha mbolea. Katika mikutano hiyo iliyofanyika majimbo sita ya mkoa wa Tabora kuanzia Oktoba 4 hadi leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, Dk…

Read More

Kamera kudhibiti mauaji ya wanyamapori Mikumi

Morogoro. Mradi wa ufungaji kamera maalumu za usalama kwa ajili ya kunasa matukio (CCTV) pembezoni mwa barabara ya Tanzania –Zambia, unatarajia kuanza siku yoyote.  Kamera hizo zitakazofungwa katika kipande cha barabara yenye urefu wa kilomita 50 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, zinalenga kudhibiti matukio ya mauaji ya wanyamapori ndani ya hifadhi hiyo. Akizungumza…

Read More

Ridhiwan aongoza mazishi ya Mama Karia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira, Vijana wenye ulemavu na makundi maalumu, Ridhiwani Kikwete, jioni ya leo Alhamisi, ameongoza waombolezaji katika mazishi ya mama mzazi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia. Janeth Abdallah, alifariki dunia usiku wa kuamkia jana Jumatano na amezikwa jioni ya leo katika makaburi yaliyopo eneo…

Read More

Fahmar Santos nje miezi tisa

Kinda wa Kitanzania anayekipiga Ceu Ciutat Meridiana ya Hispania, Fahmar Santos amesema ripoti ya daktari inaeleza atakaa nje ya uwanja kwa takribani miezi tisa sawa na msimu mzima, baada ya kufanyiwa operesheni ya goti la mguu wa kulia. Mwishoni mwa msimu huu, kinda huyo (21) alipata jeraha la goti na Jumamosi, Agosti 8 mwaka huu,…

Read More