MSAIDIZI WA PUTIN ASEMA NATO NA NCHI ZA MAGHARIBI ZILIHUSIKA KUIVAMIA URUSI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Nikolai Patrushev, msaidizi wa karibu wa Rais Vladimir Putin, amedai kuwa NATO na nchi za Magharibi zilihusika katika kupanga uvamizi unaoendelea wa Ukraine katika eneo la Kursk. Taarifa hii iliripotiwa na gazeti la Urusi, Izvestia, na imekuwa sehemu ya ripoti ya shirika la habari la Reuters. Patrushev alieleza kuwa operesheni katika eneo la Kursk ilipangwa…

Read More

Ihefu, Dodoma vita ya kanda ya kati

KANDA ya Kati kutakuwa na vita ya kipekee. Ihefu itakuwa nyumbani uwanja wa Liti kuikaribisha Dodoma Jiji. Katika mechi hiyo itakayoanza saa 10:00 jioni itakuwa na vita ya kikanda kwani Ihefu kwa sasa maskani yake yapo Singida jirani na Dodoma iliyo makao makuu ya nchi hivyo kila timu itakuwa ikisaka heshima na ubabe katika soka…

Read More

Mshukiwa wa mauaji wanawake 42 atoroka mahabusu

  RAIA wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana ikiwa imetupwa kwenye dampo la Kware jijini Nairobi, ametoroka gerezani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Nairobi, Adamson Bungei mshukiwa huyo Collins Jumaisi (33) pamoja na wafungwa wengine 13…

Read More

Mtihani mwingine Ibenge, Folz Bara

LEO Jumatano, Kocha wa Azam, Florent Ibenge na wa Yanga, Romain Folz, wanaanza kibarua cha kuziongoza timu hizo katika Ligi Kuu Bara. Makocha hao wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kupata ushindi muhimu ugenini kwenye mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) upande wa ngazi ya klabu. Azam itaikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa…

Read More

VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME

……….. 📌  Ni kati ya Vitongoji 330 vya Jimbo la Arumeru Mashariki. 📌Kapinga asema upelekaji umeme unafanyika kwa  awamu kulingana na upatikanaji wa fedha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 katika Jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Vitongoji 330. Mhe….

Read More

Magdalena arejea nchini, ataja sababu ya rekodi

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na bingwa wa marathoni taifa upande wa wanawake, Koplo Magdalena Shauri amerejea nchini akitokea Marekani alikokwenda kushiriki mbio za Chicago Marathon. Mbio hizo zilifanyika Oktoba 12, mwaka huu jijini Chicago, ambapo Magdalena alimaliza wa tatu kwa muda wa 2:18:03 na kuwa Mtanzania wa kwanza kumaliza tatu bora katika mashindano hayo…

Read More