Namna Afrika inavyoweza kutoka gizani

Dar es Salaam. Afrika sio maskini wa idadi ya megawati za umeme, bali ukata unaoyakabili mataifa ya bara hilo ni wa uwezo wa kusafirisha na hatimaye kuwafikishia wananchi nishati hiyo. Msingi wa hoja hiyo ni ukweli kwamba baadhi ya mataifa ya Afrika ama yanazalisha umeme kuzidi mahitaji yao, au yana vyanzo vyenye uwezo wa kuzalisha…

Read More

DMI yawaasa Wasichana kujiunga kada ya Ubaharia

Kaimu Mkuu wa Chuo cha DMI Dkt.Wilfred Johnson Kileo akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Maonesho ya ya Tano  Wiki ya Elimu ya Juu inayofanyika Viwanja vya Maisara Zanzibar. Baadhi ya wanawake wanafunzi a wananchi wakiwa kwenye Banda la DMI katika Maonesho yaTano ya Elimu Juu Zanzibar. *Yasema hakuna kizuizi cha kufanya mwanamke kuwa baharia…

Read More

RC Chalamila aonya wafanyabiashara kutojihusisha na migomo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo uvumi wa mgomo unaodaiwa kuanza kesho Jumatatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Amesema Serikali imekwishashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya kisheria….

Read More

Wagosi wapo tayari kwa vita Ligi Kuu Bara

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema wachezaji wa timu hiyo wapo tayari kuendeleza vita na ushindani mechi za Ligi Kuu Bara baada ya kurejea tena huku akitamba keshokutwa Jumamosi watakitonesha kidonda cha Azam FC ilitoka kufungwa katika fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 mbele ya Yanga waliobeba taji kwa penalti 5-4. Wagosi wa…

Read More