Ma-DED vinara kulalamikiwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Maadili ya Uongozi wa Umma imesema wakurugenzi watendaji wa halmashauri (Ma-DED), watendaji wakuu wa taasisi na mameneja wanaongoza kwa kulalamikiwa na wananchi. Imeelezwa kiwango cha kulalamikiwa kwa makundi hayo ni asilimia 100. Hayo yamebainishwa jijini hapa jana wakati taasisi hiyo, ilipoeleza taarifa yake ya maadili kwa kipindi cha miaka mitano…

Read More

Mtoto wa Odinga asimulia mauti yalivyomfika baba yake India

Mtoto mkubwa wa Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Winnie Odinga, ameelezea namna kifo cha baba yake, marehemu Raila Odinga kilivyotokea akibainisha kuwa hakikuwa kama kinavyoelezwa kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumza leo Ijumaa, Oktoba 17, 2025, katika shughuli ya kitaifa ya kuaga mwili wa marehemu Raila Odinga inayofanyika katika Uwanja wa…

Read More

Twange atoa maagizo mradi wa umeme Tanzania – Zambia

‎Iringa. Mradi wa kimkakati wa Tanzania- Zambia (Taza) unaolenga kuunganisha nchi hizo mbili kupitia njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga umefikia asilimia 60 upande wa njia ya kusafirisha umeme Aidha, kwa vituo vya kupoza vimefikia asilimia 31 ya utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya Sh2 trilioni. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme…

Read More

WAZIRI MASAUNI: SERIKALI IMEPIGA HATUA USIMAMIZI WA MAZINGIRA

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman (kulia) akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi, Hamad Yusuf Masauni alipokwenda kujitambulisha kwake …… Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Serikali imepiga hatua katika usimamizi…

Read More

MKURUGENZI MKUU NIRC AWATAKA WAKANDARASI KUSAIDIA JAMII MAENEO YA MIRADI

 NA MWANDISHI WETU, Katavi. MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi. Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya umwagiliaji katika kata ya Mwamkulu wilayani Mpanda mkoani Katavi. Katika ziara hiyo  alikagua na…

Read More

NBAA na BOT Wasisitiza Uwajibikaji wa Kifedha

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), imeandaa semina ya pamoja uliyowakutanisha wataalamu wa uhasibu, wakaguzi wa hesabu na wadau wa sekta ya fedha kutoka ndani na nje ya nchi. Akifungua rasmi semina hiyo iliofanyika jijini Arusha, Gavana wa BOT, Emmanuel Tutuba, alisisitiza…

Read More