Mwalimu: Kanichagueni nirudishe heshima ya pamba, mifugo
Bariadi. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewataka wananchi wa Bariadi kumchagua ili aweze kurejesha heshima ya zao la pamba na sekta ya mifugo, ambazo ziliwahi kuifanya wilaya hiyo kuwa kinara wa uchumi katika eneo hilo. Mwalimu ameyasema hayo leo, Jumamosi Oktoba 24, 2025, akiwa katika siku ya pili ya…