JKT Queens yapangwa na TP Mazembe Ligi ya Mabingwa Wanawake

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake 2025, JKT Queens, imepangwa Kundi B kwenye mashindano hayo baada ya leo Jumatatu Oktoba 27, 2025 kufanyika droo ya makundi hayo iliyochezeshwa makao makuu ya CAF jijini Cairo, Misri. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika nchini Misri kuanzia Novemba 8, 2025 hadi Novemba 21, 2025 katika viwanja…

Read More

Mapya sakata la Rais wa Korea Kusini

Dar es Salaam. Waendesha mashtaka wa Korea Kusini wamemfungulia mashtaka Rais Yoon Suk Yeol aliyeondolewa madarakani kwa tuhuma za kuongoza uasi na kuweka sheria ya kijeshi kwa muda mfupi Desemba 3, mwaka jana. Mawakili wa Yoon wamekosoa mashtaka hayo wakisema ni uamuzi mbaya zaidi uliotolewa na idara ya mashtaka, huku chama kikuu cha upinzani kikikaribisha…

Read More

Wabunge wa EU watoa tamko kutekwa kwa Polepole

Dar es Salaam. Kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kumeendelea kuzua mjadala mpana, baada ya wabunge wa Umoja wa Ulaya (EU) kulaani tukio hilo na kulitaja kuwa la kutisha linalohitaji hatua za haraka. Katika taarifa iliyotolewa jana Oktoba 10, 2025, kwa pamoja na wabunge wa EU, Barry Andrews, Robert Biedrón, Udo…

Read More

DIWANI KATA YA KALANGALALA AKABIDHIWA OFISI

Viongozi wa kata ya Kalangalala katika halmashauri ya manispaa ya Geita leo Disemba 04, 2025 wamempokea diwani wa kata hiyo Reuben Sagayika katika hafla fupi iliyohudhuriwa na wenyeviti wa mitaa ya kata hiyo, wakuu wa idara za elimu, afya na maendeleo ya Jamii na baadhi ya walimu wa shule zilizopo katika kata hiyo. Hafla ya…

Read More

Serikali yatoa kauli  mradi wa Liganga, Mchuchuma

Dar es Salaam. Baada ya changamoto zilizodumu kwa muda mrefu, Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo kuhusu mradi wa chuma wa Liganga na makaa ya mawe wa Mchuchuma yamefikia hatua ya uamuzi, huku hoja zilizokuwa zikisababisha ucheleweshaji kama mgawanyo usio sawa wa hisa na masharti ya mikataba yaliyowapendelea zaidi wawekezaji wa kigeni zikishughulikiwa. Akizungumza leo Jumatano,…

Read More

Aliyembaka aliyekuwa mwanafunzi jela miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyohukumiwa Said Mohamed, baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya ubakaji. Said alikutwa na hatia ya kesi ya ubakaji wa aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tano mwenye umri wa miaka 15, kinyume na kifungu cha 180 (1)…

Read More