Wawili mbaroni kwa kuvunja vioo vya treni SGR kwa mawe

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limewakamata na kuwahoji watuhumiwa wawili kwa kosa la kuharibu kwa kuvunja vioo viwili vya treni ya Mwendo Kasi (SGR) kwa kutumia mawe. Tukio hilo limetokea mchana wa Novemba 22, 2024 katika Kijiji cha Manase Wilaya ya Chamwino jijini Dodoma treni hiyo ilipokuwa ikipota ikitokea jijini Dar es Salaam. Kwa…

Read More

Mpo? Hivi ndio Feisal anavyopenya Simba

FEISAL Salum maarufu kama Fei Toto ni miongoni mwa wachezaji bora wa kiungo katika soka hapa nchini. Uwezo wake katika usambazaji wa mipira, kasi na weledi wa kusoma mchezo umemfanya awe kipenzi cha mashabiki wengi wa soka na kocha yeyote anayetafuta kuimarisha safu ya kiungo katika kikosi. Akiwa bado ana mkataba na Azam FC hadi…

Read More

Samia ashika siri za mawaziri sita

Dar es Salaam. Baraza la Mawaziri chini ya Rais Samia Suluhu Hassan linahitimisha safari yake ya utumishi wa miaka minne, huku likiacha kumbukumbu sita za pekee, ikiwemo teua tengua 15 na kuanza bila ya Makamu wa Rais. Safari ya baraza hilo ilianza Machi 19, 2021, saa chache baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa mkuu wa…

Read More

SMART DARASA YAWAFUNGULIA MILANGO WADAU WAPYA WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU

WADAU wa Elimu nchini waaswa kutumia ubunifu mbalimbali kuhakikisha wanaongeza ufaulu na Kurahisisha nyezo za Watoto Mashuleni Kujifunza kwa Kutumia mifumo ya Teknolojia. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Utafiti Habari katika Machapisho ya Elimu Nchini(TIE) Kwangu Zabron mara baada ya Kutambulishwa kwa program mpya Kusaidia Matumizi ya Teknolojia,Mawasiliano na Habari katika Elimu (SMART DARASA) amesema…

Read More

Yanga yashtuka usajili mpya, yajitafakari

YANGA wameamua kurudi nyuma kwanza kuangalia kuna ulazima gani wa kusajili kiungo mkabaji mzawa ikiwa kuna uwezekano wa kuendelea kubaki na Jonas Mkude na Zawadi Mauya ambao watashirikiana vema na Khalid Aucho raia wa Uganda. Wakakubaliana na wazo la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwamba wanaweza kusubiri dirisha kubwa lipite na kutumia kipindi hiki kutafuta mtu…

Read More

Simba yatoa msimamo ishu ya Kibu Denis

Uongozi wa Simba umepanga kumchukulia hatua za kinidhamu kiungo wake mshambuliaji, Kibu Denis kutokana na kushindwa kuwasili kwenye kambi ya timu hiyo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine itakayoshiriki msimu ujao na badala yake amekuwa akitoa sababu tofauti kila siku. Simba kwa sasa iko jijini Ismailia, Misri…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUWEZESHA WANANCHI KUPATA HATI MILKI ZA ARDHI

  Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata hati milki za ardhi ili kuongeza kasi ya umilikishaji katika maeneo mbalimbali nchini. Uwezeshaji huo unafanyika kupitia mazoezi ya urasimishaji makazi holela pamoja na Kliniki Maalum za Ardhi zinazofanyika maeneo mbalimbali nchini zikiwa na lengo…

Read More