Necta, Profesa Mkenda walivyouzungumzia mpango wa kuandika, kusoma na kuhesabu
Dar es Salaam. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Profesa Said Mohammed amesema mtoto asipopata maarifa ya Kuandika, Kusoma na Kuhesabu (KKK) anaathirika katika nyanja zote za ukuaji na ujifunzaji kiakili, kimwili, kijamii na kihisia. Umuhimu wa mafunzo haya ni kama maziwa ya mama kwa kichanga kwani kadri mtoto anavyokosa maziwa ya…