
ALLY HAPI ATUA JIMBO LA KIBAHA VIJIJINI KUMNADI HAMOUD JUMAA NAFASI YA KUWANIA UBUNGE
VICTOR MASANGU, KIBAHA Katibu mkuu wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi (CCM) ndugu Ally Hapi (MNEC) amezindua rasmi kampeni katika Jimbo la Kibaha vijini na kuwaomba wanachama na wananchi kumpa ridhaa ya kuweza kuwatumikia mgombea wa wa Jimbo la Kibaha mjini Hamoud Juma kwa kura nyingi za kishindo ili aweze kutekeleza ilani kwa…