Glaciers ya Mongolia na Mustakabali wa Nishati na Usalama wa Chakula – Masuala ya Ulimwenguni

Ziwa katika Mkoa wa Bayan-Ölgii ni chanzo cha maji magharibi mwa Mongolia. Mabadiliko katika asili ya barafu na rasilimali za maji huathiri kilimo na maisha ya Wamongolia. Credit: Pexels/ ArtHouse Studio Maoni na Madhurima Sarkar-Swaisgood, Prangya Paramita Gupta na Parvathy Subha (bangkok, Thailand) Alhamisi, Januari 29, 2026 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Januari 29 (IPS)…

Read More

Baraza aupotezea usajili dirisha dogo

WAKATI kesho Ijumaa Januari 30, 2026 dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufungwa, Kocha wa Pamba Jiji, Francis Bara amesema hawana mpango wowote wa kuongeza mchezaji akiamini kikosi kilichopo kinaweza kufanya makubwa hadi mwisho wa msimu huu. Hata hivyo, pamoja na msimamo huo wa benchi la ufundi, tayari timu hiyo imeondokewa na wachezaji wanne kati ya…

Read More

ACT-Wazalendo wakwama tena kesi 14 za uchaguzi Zanzibar

Arusha. Chama cha ACT-Wazalendo kimeendelea kukumbwa na pigo la kisheria baada ya Mahakama Kuu ya Zanzibar kutupilia mbali kesi nyingine 14 zilizokuwa zimewasilishwa kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Pemba. Uamuzi huo umefanya idadi ya kesi za kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar kufikia 33, kufuatia kesi nyingine 19 zilizotupwa juzi na mahakama….

Read More

Sabri Kondo, Shillah wawe daraja huko Sweden

AGOSTI mwaka jana, kinda wa Kitanzania, Sabri Kondo alijiunga na BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Sweden akitokea Singida Black Stars na alisaini mkataba wa miaka minne na nusu kuitumikia timu hiyo. Miezi mitano baadaye, kijana mwingine mdigo wa Kitanzania, Mohammed Shillah naye ametua Sweden katika timu ya AIK ambayo nayo inashiriki Ligi Kuu nchini…

Read More

Tuwaelewe Simba wameamua kuanza upya

SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake na baadhi bado ipo nao lakini haitowatumia hadi msimu utakapomalizika. Ni nadra sana kwa timu kufanya usajili wa idadi kubwa hivyo ya wachezaji katika dirisha dogo, lakini Simba yenyewe imeamua kutoangalia historia ikoje…

Read More