POLISI WAONYA MATAPELI WANAOJIFANYA WATUMISHI WA UMMA ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharib, Kamishna Msaidizi wa Polisi Abubakar H. Ally, ametoa onyo kuhusu matapeli wanaojifanya watumishi wa umma na kuwatapeli wananchi kwa ahadi za ajira za serikali. Akizungumza ofisini kwake Madema, Zanzibar, Kamanda Abubakar alieleza jinsi mtuhumiwa mmoja alivyokuwa akiwatapeli wananchi kwa kujifanya mtumishi wa umma na kuahidi kuwapatia ajira…

Read More

Maelfu wauaga mwili wa Papa Francis

Vatican. Umati wa waamini umeendelea kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Papa Francis kwenye Kanisa kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican, shughuli inayoendelea hadi kesho Ijumaa Aprili 25, 2025 saa 2:00 usiku (saa za Afrika Mashariki na Kati). Inaelezwa hadi kufikia saa 3:30 asubuhi ya leo Alhamisi Aprili 24, watu 48,600 wameshatoa heshima zao…

Read More

TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI

Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne Mkoani Morogoro ya kukagua miundombinu ya Barabara ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kumtaka Waziri huyo kufika kusiko fikika ili kutatua kero za wananchi…

Read More

SERIKALI INATAFITI MIKARATUSI KUHARIBU MAZINGIRA

Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) inaendelea na utafiti wa kina wa miti aina ya mikaratusi kuhusu athari zake kimazingira na kuja na taarifa ya kitaalamu pamoja na ushauri. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ameriarifu Bunge wakati akijibu swali la Mbunge wa Hai…

Read More

UZINDUZI TAMASHA LA UTAMADUNI WAITEKA RUVUMA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro pamoja na viongozi wengine wakitoa burudani staili ya Misomisondo mara baada ya kufungua Tamasha la tatu la utamaduni la Kitaifa mkoani Ruvuma Septemba 20, 2024 katika Uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea. Na Mwandishi Wetu, RUVUMA WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa…

Read More

Beki Yanga Princess bado anajifunza

LICHA ya kutopata nafasi kwenye kikosi cha Yanga Princess, lakini beki wa kulia, Lucy Pajero amesema anajifunza vitu vingi akiwa benchi. Beki huyo alisajiliwa msimu 2022/23 akitokea The Tigers Queens iliyoshuka daraja msimu huo. Tangu amesajiliwa Yanga amekuwa akipata nafasi chache za kucheza tangu kocha Mzambia, Charles Haalubono na sasa Edna Lema ‘Mourinho’. Akizungumza na…

Read More