POLISI WAONYA MATAPELI WANAOJIFANYA WATUMISHI WA UMMA ZANZIBAR – MWANAHARAKATI MZALENDO
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharib, Kamishna Msaidizi wa Polisi Abubakar H. Ally, ametoa onyo kuhusu matapeli wanaojifanya watumishi wa umma na kuwatapeli wananchi kwa ahadi za ajira za serikali. Akizungumza ofisini kwake Madema, Zanzibar, Kamanda Abubakar alieleza jinsi mtuhumiwa mmoja alivyokuwa akiwatapeli wananchi kwa kujifanya mtumishi wa umma na kuahidi kuwapatia ajira…