Mastaa Simba watambia usajili | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikirejea nchini alfajiri ya leo ikitokea Misri, mastaa wa timu hiyo wameringia usajili wa kikosi hicho kwa msimu msimu mpya wakisisitiza wamepania kufanya mabadiliko. Simba iliweka kambi jiji la Ismailia kabla ya kuhamia Cairo, Misri ikitumia siku 31 kujifua tayari kwa msimu wa 2025/26 ambao utaanza rasmi Septemba 16 kwa kupigwa mechi ya…

Read More

Simba, Gor Mahia kukumbushia 2018

BAADA ya miaka saba kupita, hatimaye miamba ya soka la Tanzania na Kenya, Simba na Gor Mahia Zinakutana tena leo Jumatano katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day utakaochezwa Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar. Mara ya mwisho timu hizo kukutana, ilikuwa Juni 2018 na Simba ilipoteza huko Kenya kwa…

Read More

SERIKALI KUNYOOSHA TARATIBU ZA UFADHILI.

……. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imetenga Shilingi bilioni 5 kufadhili wanafunzi 20 wa Shahada ya Uzamili katika fani za Sayansi Takwimu (Data Science), Akili Unde (Artificial Intelligence) na Sayansi Shirikishi kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended (SSE DS/AI+), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taifa kuimarisha rasilimali watu katika teknolojia za kisasa. Wanafunzi 10…

Read More

Straika Singida BS kubaki Pamba Jiji

BAADA ya mshambuliaji wa Singida Black Stars, Abdoulaye Yonta Camara, raia wa Guinea kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita kwa msimu wa 2024-2025, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kuendelea kubaki naye. Camara alijiunga na Singida Agosti 14, 2024, ingawa sababu za kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara ziliwafanya…

Read More

WIKI YA MAJI: Rais Samia alivyoitoa Wizara Maji kutoka kuwa ya kero na lawama hadi ya faraja

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua au bustani. Mambo yanayohitaji maji ni mengi. Maji haya yanapaswa kusambazwa kutoka katika vyanzo vyake mathalani mito, maziwa na mabwawa hadi…

Read More

JAMBO GROUP MDHAMINI MKUU PAMBA JIJI FC

Viongozi wa Jambo Group na viiongozi wa Pamba Jiji FC katika picha ya pamoja.Pamba jiji FC wakitembelea kiwanda cha Jambo Food product. Na Eunice Kanumba-Shinyanga Kampuni ya Jambo Group ya mjini Shinyanga sasa ni mdhamini mkuu wa timu ya Pamba FC ya jijini Mwanza katika msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba…

Read More

UN Chief inasikika kengele juu ya shida inayozidi kuongezeka katika El Fasher ya Sudan – Maswala ya Ulimwenguni

El Fasher amekuwa chini ya kuzingirwa kwa nguvu na vikosi vya msaada wa haraka (RSF) kwa zaidi ya siku 500, na mashambulio dhidi ya raia kuongezeka katika wiki za hivi karibuni. Wakazi wengi katika kambi ya uhamishaji wa Abu Shouk walio karibu wameripotiwa kukimbia kufuatia Shelling na uvamizi. “Mapigano lazima yasimame sasa,” Katibu Mkuu António…

Read More