TIC yatoa semina ya Uwekezaji Mwanza

Ikiwa ni mwendekezo wa Kampeni ya Kitaifa Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani imeendesha semina juu ya masuala ya mbalimbali ya Uwekezaji leo 19 Julai, 2024 katika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amepongeza jitihada zilizofanywa na Mkoa wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said…

Read More

DUWASA WAANZA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KISHINDO, WAFANYAKAZI WASISITIZWA KUWAHUDUMIA WATEJA KWA UPENDO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma(DUWASA) Mhandisi Aron Joseph amesisitiza Watumishi kuendelea kusikiliza malalamiko ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi. Mhandisi Aron ameyasema hayo leo Oktoba 7,2024 jijini Dodoma wakati akizundua wiki ya huduma kwa wateja. Amesema wananchi wanapokuwa na malalamiko wanataka kupewa ufafanuzi…

Read More

Desemba ya ajali, wengine 20 wafa Rombo, Tanga

Handeni. Unaweza kusema Desemba hii ni ya majonzi na simanzi kubwa kutokana na mfululizo wa ajali mbaya zilizotokea, zikiwamo zilizotokea jana wilayani Handeni Mkoa wa Tanga na nyingine iliyotokea leo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro ambazo zimesababisha vifo vya watu 20. Mwezi huu ambao kwa kawaida huwa wa shamrashamra za sikukuu za mwisho wa mwaka,…

Read More

Ofisa TRA aliyeshambuliwa Tegeta kwa Ndevu afariki dunia

Dar es Salaam. Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao ambaye ni miongoni mwa maofisa watatu walioshambuliwa na wananchi Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam wakati akitaka kukamata gari linalodaiwa kuingizwa nchini kimagendo, amefariki dunia. Taarifa za kifo chake zimetolewa leo usiku Ijumaa Desemba 6, 2024 na mamlaka hiyo kupitia taarifa kwa…

Read More

Wizara tatu kikaangoni bungeni wiki hii

Dodoma. Bunge la Bajeti linaendelea tena kesho, Machi 19, 2025 jijini Dodoma na mawaziri watatu wanatarajiwa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara zao. Hata hivyo, inaelezwa kuwa macho na masikio ya wengi huenda yakaangazia zaidi kwenye wizara za Kilimo, Mifugo na Uvuvi, sambamba na ile ya Maliasili na Utalii. Mbali ya wizara hizo,…

Read More

MAJALIWA: TUTAENDELEA KUWALINDA NA KUWAPATIA FURSA STAHIKI WATU WENYE ULEMAVU

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inawathamini Watu wenye Ulemavu wakiwemo wenye ualbino na wakati wote itahakikisha inawalinda na kuwapatia fursa stahiki katika ujenzi wa Taifa. Amesema katika kuendelea kutekeleza mpango wa uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutumia mikopo inayotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, hadi kufikia Machi, 2025 tayari shilingi bilioni 5.48 zimetolewa…

Read More