
TIC yatoa semina ya Uwekezaji Mwanza
Ikiwa ni mwendekezo wa Kampeni ya Kitaifa Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani imeendesha semina juu ya masuala ya mbalimbali ya Uwekezaji leo 19 Julai, 2024 katika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amepongeza jitihada zilizofanywa na Mkoa wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said…