PACOME: Jasho nalovuja Yanga litalipa

HAIKUWA kazi nyepesi kwa viongozi wa Yanga wakiongozwa na Hersi Said kunasa saini ya kiungo Pacôme Zouzoua, nyota mahiri wa Ivory Coast ambaye kwa sasa anawafanya Wananchi watembee vifua mbele. Uwezo wa kumiliki mpira, kasi na kupenya ngome za wapinzani umemfanya asitoke vinywani mwa mashabiki wa timu hiyo. Licha ya kuwa na wachezaji hatari kama…

Read More

Benki ya NBC, Mbogo Ranches Zasaini Makubaliano ya Utoaji Mikopo ya Mbegu Bora ya Mifugo kwa Wafugaji.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Mbogo Ranches yanayotoa fursa kwa wafugaji nchini kuweza kunufaika kupitia upatikanaji wa mikopo rafiki kutoka benki hiyo kwa ajili ya ununuzi wa mbegu bora za kisasa za mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi na kondoo inayozalishwa na kampuni hiyo. Hatua hiyo inalenga kuwasaidia kwa…

Read More

Wananchi walivyopita kwa miguu juu ya Ziwa Victoria

Mwanza. Shangwe imeibuka baada ya abiria waliokuwa wakisubiri kuvuka eneo la Kigongo wilayani Misungwi kwenda Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuruhusiwa kupita kwa miguu juu ya Ziwa Victoria kupitia daraja la muda linalotumiwa na mkandarasi anayejenga daraja la JPM. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 27, 2025, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa…

Read More

Wasichana kupata ufadhili wa urubani, uhandisi wa ndege

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amewataka wasichana kutoka familia zisizo na uwezo kiuchumi kuchangamkia mpango wa kuwasaidia kifedha waweze kufikia ndoto zao za kuwa marubani na wahandisi wa ndege. Akizungumza jana Oktoba 31, 2024 kwenye kongamano la viongozi wanawake katika usafiri wa anga, lililokuwa na…

Read More

WatendajI Ofisi ya Waziri Mkuu watakiwa kuedelea kuratibu vyema taarifa za utekelezaji wa Serikali kwa manufaa ya Taifa.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu wamehimizwa kuratibu vyema taarifa za utekelezaji wa Serikali ya Awamu ya Sita na kuzisemea kazi hizo kwa wananchi ilia wapate uelewa wa uhakika wa miradi ya maendeleo iliyofanywa na Serikali katika maeneo yao. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi…

Read More

Winga Mtanzania asimulia bato lake na Chomelo

WINGA wa Sisli Yeditepe inayoshiriki Soka la watu wenye Ulemavu Uturuki, Mtanzania Shedrack Hebron amesema wanapokutana wabongo wawili kuna  bato sio la kawaida. Hebron anacheza ligi moja na Mtanzania mwenzake, Ramadhan Chomelo anayeichezea Konya na wakikutana wakiwa na timu zao inakuwa na bato la kipekee. Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Walemavu ‘Tembo Warriors’…

Read More