Zanzibar mbioni kuanzisha shirika la ndege

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inafanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali wenye uwezo wa kushirikiana na Serikali kuanzisha Shirika la Ndege la Zanzibar. Mipango hiyo imeelezwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdulatif Yussuf katika mkutano wa 19 wa baraza la  wawakilishi leo Juni 9, 2025 alipojibu hoja za wawakilishi hao  Chukwani…

Read More

Laizer aachiwa zigo Fountain Gate

UONGOZI wa Fountain Gate umesema hautafanya uamuzi wa haraka kutafuta kocha mkuu, badala yake Mohamed Ismail ‘Laizer’ ambaye ni msaidizi atapewa majukumu ya kukiongoza kikosi hicho katika kipindi cha mpito. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa Fountain Gate, Wendo Makau amesema baada ya kuondoka Denis Kitambi hawana haraka ya kutafuta mkuu wa benchi la ufundi, hivyo…

Read More

BAADA YA MKE KUPATA KAZI KAMKIMBUA MUME!

Baada ya mke kupata kazi kamkimbia mume By ngilishonews.com Jina langu Juma, Mke wangu hakuwa na kazi yoyote lakini alikuwa tayari kahitimu kutoka katika chuo kikuu na mara nyingi alikuwa akifanya majaribio mbalimbali ya kutafuta kazi bila mafanikio. Licha ya hayo yote, nilikuwa nampenda na kumdhamini ajabu mke wangu kwani nilikuwa tayari kumfanyia lolote. Mshahara…

Read More

Qatar yaendeleza juhudi za upatanishi Gaza – DW – 21.06.2024

Waziri wa mambo ya nje wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani amewaeleza waandishi wa habari wakati wa mkutano wa pamoja na waziri mwenzake wa Uhispania mjini Madrid kwamba juhudi za kutafuta usuluhishi zimeendeleabila ya kuingiliwa. Amesema wamekuwa na mikutano kadha na viongozi wa Hamas, kujaribu kuunganisha pande hizo mbili ili kufikiwa makubaliano yatakayochangia kusitishwa…

Read More

Nyota Outsiders azigonganisha nne | Mwanaspoti

BAADA ya Stein Warriors, JKT, Savio na ABC kuibuka na kuitaka saini ya nyota wa UDSM Outsiders, Tryone Edward, mwenyewe amefunguka anachoangalia ni masilahi tu, kwake kambi popote, huku nyota mwenzake Josephat Petar akimaliza mkataba wake. Timu mbalimbali zitakazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), zinaendelea kujiweka sawa kwa kusajili nyota wapya,…

Read More

Che Malone amshtua Fadlu | Mwanaspoti

SIMBA inajiandaa kulihama jiji la Dar es Salaam ili kwenda Arusha kuvaana na Coastal Union kabla ya kurejea kujiwinda dhidi ya Yanga katika Dabi ya Kariakoo itakayopigwa Machi 8, kuna mambo flani ni kama hayaeleweki kikubwa kikiwa ni afya za mastaa wa kikosi hicho. Bahati nzuri ni kwamba, mastaa karibu wote wako fiti na wanaendelea…

Read More