Matukio ya ukatili yazidi kukithiri Zanzibar

Unguja. Idadi ya matukio ya ukatili na udhalilishaji imeongezeka kwa asilimia 4.9, kutoka matukio 102 yaliyoripotiwa Aprili, 2025 hadi kufikia matukio 107 Mei mwaka huu, kisiwani hapa. Akitoa takwimu za matukio hayo leo Jumapili, Juni 22, 2025, Mtakwimu Ahmada Hassan Suleiman kutoka Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), amesema miongoni mwa…

Read More

Mechi nne za maamuzi Yanga

MABAO manne ambayo Kennedy Musonda ameyafunga katika mechi za kuwania kufuzu Mainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025, yakiwemo mawili kwenye mechi mbili mfululizo za mwisho, zimewafanya mabosi wa Yanga kurudi mezani na kubadilisha mpango waliouandaa kwa ajili ya dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15, 2024 hadi Januari 15 mwakani. Yanga ilipanga kumuacha mshambuliaji…

Read More

Mapya yaibuka mahakamani kufungwa Kanisa la Askofu Gwajima

Dar es Salaam. Mvutano mkali wa kisheria, umeibuka kortini baada ya Serikali kuweka pingamizi la awali kupinga maombi yaliyofunguliwa na Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Glory of Christ Tanzania linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima. Hata hivyo, katika uamuzi wake alioutoa Juni 6, 2025 na kuwekwa katika tovuti ya mahakama, Jaji Juliana Masabo wa Mahakama…

Read More

Israel na Hezbollah washambuliana maeneo muhimu – DW – 24.10.2024

Katika taarifa yake, jeshi la Israel limesema limefanya mashambulizi ya anga usiku kucha katika maeneo linayodai ni muhimu kwa wanamgambo wa Hezbollah, vikiwemo vituo kadhaa vya kuhifadhi na kutenegeza silaha katika eneo la Dahiyeh. Vyombo vya habari nchini Lebanon vimeripoti kwamba takribani majengo sita yalishambuliwa na kuharibiwa vibaya kwenye mashambulizi hayo ya anga ya Israel….

Read More

Waziri ataka Serikali, sekta binafsi kuchangamkia fursa za uchumi wa buluu

Bagamoyo. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema jitihada za makusudi zinapaswa kufanywa ili kuziendeleza fursa mbalimbali za uchumi wa buluu ambao haujaangaziwa. Amesema Serikali zote mbili za Tanzania Zanzibar,  zinapaswa kuzichangamkia kwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Dk Khalid amesema…

Read More