HISPANIA MABINGWA EURO 2024, YAILAZA UINGEREZA 2-1

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kunyakua kombe la Euro 2024 mara baada ya kuichapa Uingereza mabao 2-1 katika fainali ambayo imepigwa kwenye dimba la Olympiastadion (Berlin) nchini Ujerumani. Hispania walianza kupata bao kupitia kwa Nico Williams dakika ya 47 kipindi cha pili akipokea pasi kutoka kwa nyota Yamal. Dakika…

Read More

Adaiwa kujinyonga kisa Sh300,000 alizompa mkewe

Arusha. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Thadei Nnko (67) mfanyabiashara wa vyuma chakavu na mkazi wa kata ya Sinon jijini Arusha amejinyonga kwa kile kinachodaiwa kusababishwa na deni la Sh300,000 analomdai mkewe. Kwa mujibu wa mashuhuda, marehemu alimpa mkewe fedha hizo kwa ajili ya kununua mzigo wa vyuma chakavu, lakini baadaye akaja tena kuitaka…

Read More

CCM ilivyobadili gia angani mchakato wa udiwani

Dar es Salaam. Wakati Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imeelekeza kurudishwa kwa watiania wote wa udiwani waliokuwa wameenguliwa wakapigiwe kura za maoni, wadau wa siasa wanasema uamuzi huo ni kiashiria kwamba kulikuwa na hila wakati wa uteuzi. Uamuzi wa sekretarieti umefungua milango kwa makada wote waliochukua fomu kuomba nafasi ya udiwani katika kata…

Read More

Trump, Harris wapiga kampeni za lala salama Nevada – DW – 01.11.2024

Katika mkutano wake wa Kampeni mjini Las Vegas Kamala Harris amemkosoa vikali Trump kwa maoni aliyoyaita “ya udhalilishaji mkubwa” kwa wanawake. Ameyasema hayo akiirejea kauli ya mpinzani wake huyo aliyesema katika mkutano wake wa Jumatano huko Green Bay Wisconsin kuwa atawalinda wanawake, “watake wasitake.” Akiizungumzia  kauli hiyo ya Trump, Harris amedai kuwa inawadhalilisha wanawake na…

Read More

Timu za misaada za UN zinakataa jaribio la makusudi la Israeli la kusaidia misaada ‘ – maswala ya ulimwengu

“Inaonekana kuwa jaribio la makusudi la kuweka silaha misaada na tumeonya dhidi ya hiyo kwa muda mrefu sana. Msaada unapaswa kutolewa kwa kuzingatia hitaji la kibinadamu kwa mtu yeyote anayehitaji, “alisema Jens Laerke, msemaji wa Ofisi ya Uratibu wa UN, Ocha. Akiongea huko Geneva, Bwana Laerke alitaja kifupi cha maneno kilichotolewa na viongozi wa Israeli…

Read More

Barabara Ndefu ya Haki – Masuala ya Ulimwenguni

Katika kaburi la marehemu mhariri mkuu wa gazeti mashuhuri la lugha ya Kiingereza Kiongozi wa Jumapili Lasantha Wickrematunge, ambaye aliuawa kwenye gari lake Januari 8, 2009, akielekea kazini huko Colombo. Credit: Johan Mikaelsson/IPS na Johan Mikaelsson (colombo) Ijumaa, Oktoba 25, 2024 Inter Press Service COLOMBO, Oktoba 25 (IPS) – Yeyote anayependa mauaji na kutoweka kwa…

Read More

Bongo Zozo apania kuhamasisha utalii kileleni Mlima Kilimanjaro

Hai. Balozi wa Utalii Tanzania, Nick Reynolds maarufu kama Bongo Zozo anatarajia kuanza safari ya siku saba ya kuupanda Mlima Kilimanjaro kesho Septemba 6, 2024 huku akiwataka Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio vilivyopo nchini ikiwemo kupanda mlima huo mrefu barani Afrika, hatua itakayochochea utalii wa ndani. Bongo Zozo ameyasema hayo leo Septemba 5, 2024…

Read More