Balozi Mussa ampongeza Rais Samia kwa Uteuzi unaozingatia Jinsia
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Dar es Salaam – Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Mussa, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa uteuzi wake unaozingatia jinsia, ambao umepelekea wanawake kuwa asilimia 24 ya wanadiplomasia nchini. Pongezi hizo zilitolewa Juni 24, 2024, katika maadhimisho ya Siku…