Dar-si-Salama ilivyomfyatua Fyatu na yeye akafyatuka!

Baada ya kukaa majuu kwa ngwe nyingi, kfyatufyatu si nikajitia kiherehere na mbambamba kwenda kujinoma Dar––si––Salama. Badaa ya kwenda Arusha, Moshi, na Ushoto na kufaidi kila kitu na makandokando, likaja wazo la kufyatua kitu hiki na namna nilivyofyatuliwa kulhali. Bila hili wala lile, niliamua kutua Dar-si-Salama japo kujikumbusha zama zangu Dar. Mara hii, sikufikia Kariakoo…

Read More

Jinsi wateja wanavyoomba keki, vinywaji vyenye dawa za kulevya

Dar es Salaam. Wakati vijana wa vyuo vikuu wakituhumiwa kutengeneza biskuti za bangi, wapishi na watengeneza vinywaji jijini Dar es Salaam wamesema wamekuwa wakiombwa na waandaji wa sherehe kuweka dawa za kulevya kwenye keki na vinywaji ili wageni wajisikie vizuri. Wapishi hao wamesema vitendo hivyo vinaashiria kuwa, kila siku watumiaji wanatafuta njia mbadala za kutumia…

Read More

Mikakati ya Bodi ya Korosho 2025/2026

Lindi. Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), imejipanga kuhakikisha inafikia lengo lililowekwa na Serikali la kuzalisha tani 700,000 za korosho kwa mwaka 2025/2026. Akizungumza leo Ijumaa Julai 4, 2025, kwenye kikao cha maendeleo ya tasnia ya korosho kwa Mkoa wa Lindi kuelekea msimu wa mauzo wa 2025/2026, Mkurugenzi wa CBT, Francis Alfred, amesema bodi hiyo imejipanga…

Read More

Majaliwa: Wananchi hifadhini chakula | Mwananchi

Dodoma. Serikali imetoa tahadhari kwa wananchi kutumia chakula kwa uangalifu kuanzia ngazi ya familia na kuzingatia kanuni bora za hifadhi ya mazao ya chakula kutokana na utabiri wa hali ya hewa kubashiri msimu huu kutokuwa na mvua za kutosha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema hayo leo Septemba 6, 2024 akitoa hotuba kuahirisha Mkutano wa 16…

Read More

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAHIMIZWA KUWAHAMASISHA WANANCHI KIJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MPIGA KURA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe William Lukuvi ametoa rai kwa viongozi wa vyama vya siasa viongozi wa dini viongozi wa kimila na viongozi wengine kushirikiana katika kuhimiza wananchi kwenda kujiandikisha kwa sababu ni haki yao. Wito huo umetolewa leo tarehe 11/10/2024 wakati wa…

Read More

Saa 72 za moto Chadema, kauli ya Lissu…

Dar/mikoani. Hatima ya nani atateuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi za uenyekiti wa kanda, itajulikana baada ya Kamati Kuu kujifungia kwa siku tatu kuanzia kesho Jumamosi hadi Jumatatu. Pamoja na wateule hao kujulikana, baada ya kikao hicho, msimamo wa chama hicho kuhusu kauli ya Makamu Mwenyekiti wake Bara, Tundu Lissu juu…

Read More

Suza, APRM kushirikiana tafiti kuimarisha utawala bora

Unguja. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (Suza) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Mpango wa Hiari wa Kujitathmini kwa vigezo vya Utawala Bora Tanzania (APRM), wenye lengo la kuimarisha tafiti zinazolenga kukuza utawala bora nchini. Akizungumza leo Jumamosi Julai 26, 2025 Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Moh’d Makame Haji amesema chuo hicho…

Read More