Kakolanya atuliza presha Mbeya City, Pamba Jiji ikiahidi kufa na mtu Sokoine
“TUNAANZA Ligi na Pamba Jiji”. Ni kauli ya Kipa wa Mbeya City, Beno Kakolanya akiwatuliza mashabiki wa timu hiyo kufuatia matokeo yasiyoridhisha ya timu hiyo katika Ligi Kuu Bara. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu, haijawa na matokeo mazuri hadi kufikia uamuzi wa kuachana na aliyekuwa na Kocha wake, Malale Hamsini. Timu hiyo kabla…