ACT-Wazalendo wakwama tena kesi 14 za uchaguzi Zanzibar

Arusha. Chama cha ACT-Wazalendo kimeendelea kukumbwa na pigo la kisheria baada ya Mahakama Kuu ya Zanzibar kutupilia mbali kesi nyingine 14 zilizokuwa zimewasilishwa kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Pemba. Uamuzi huo umefanya idadi ya kesi za kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar kufikia 33, kufuatia kesi nyingine 19 zilizotupwa juzi na mahakama….

Read More

Sabri Kondo, Shillah wawe daraja huko Sweden

AGOSTI mwaka jana, kinda wa Kitanzania, Sabri Kondo alijiunga na BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Sweden akitokea Singida Black Stars na alisaini mkataba wa miaka minne na nusu kuitumikia timu hiyo. Miezi mitano baadaye, kijana mwingine mdigo wa Kitanzania, Mohammed Shillah naye ametua Sweden katika timu ya AIK ambayo nayo inashiriki Ligi Kuu nchini…

Read More

Tuwaelewe Simba wameamua kuanza upya

SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake na baadhi bado ipo nao lakini haitowatumia hadi msimu utakapomalizika. Ni nadra sana kwa timu kufanya usajili wa idadi kubwa hivyo ya wachezaji katika dirisha dogo, lakini Simba yenyewe imeamua kutoangalia historia ikoje…

Read More

Masharti mapya ya mikopo ya asilimia 10, Nida yatatajwa

Dodoma. Serikali imetangaza kulegeza masharti ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu, lakini sharti kuu ni lazima iwalenge Watanzania, ikiwemo kuwa na Kitambulisho cha Taifa (Nida). Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi, Januari 29, 2026, na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo bungeni, kama…

Read More

Mbetie mchezaji – Mfumo wa mafanikio wa AfroPari

Uaminifu ndio msingi wa ubashiri wenye mafanikio na kigezo muhimu ni katika kuchagua kampuni ya ubashiri. Kila mcheza kamari anataka jukwaa lililo wazi linalohakikisha malipo ya matokeo ya mikeka iliyotiki kwa haki, kulinda taarifa binafsi, na kulipa kwa wakati na haraka. Waendeshaji wengi wa kampuni za kubeti hujaribu kukidhi mahitaji ya wapenzi wa michezo ya…

Read More

TADB yatenga Sh160 bilioni kupunguza upotevu wa mazao

Dar es Salaam. Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) imetenga Sh160 bilioni kuthibiti upotevu wa mazao baada ya kuvunwa, ikipanga kujenga maghala ya mpunga na mahindi. Kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo, wakulima wa Tanzania wanapoteza hadi asilimia 45 ya mazao yao kabla hayajafika kwa mtumiaji wa mwisho. Licha ya sekta ya kilimo kuajiri zaidi ya…

Read More

Serikali yaeleza mkakati kudhibiti homa ya ini Kigoma

Dodoma. Serikali inaendelea kutekeleza mpango maalum wa kutoa elimu na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuzuia maambukizi mapya na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu kinga, upimaji na matibabu ya ugonjwa huo. Maelezo hayo yametolewa bungeni leo Alhamisi, Januari 29, 2026…

Read More

MKURUGENZI MOSHI ATAKA MOTISHA KWA WALIMU, WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI MITIHANI YA TAIFA.

MOSHI. MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Shadrack Mhagama, amesisitiza umuhimu wa motisha kwa shule, walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa kama njia ya kuinua ubora wa elimu na kuhamasisha ushindani chanya. Mhagama alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kawaida wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa mikutano…

Read More