Waarabu waitibulia Singida Black Stars kwa straika

MABOSI wa Singida Black Stars wamempa ‘Thank You’, Jonathan Sowah kubariki kutua Simba, huku hesabu zikiwa ni kumbeba mshambuliaji wa Berekum Chelsea ya Ghana kwa ajili ya msimu ujao, lakini ghafla dini hilo limetibuka baada ya nyota huyo kubadilisha mawazo ya kuja Tanzania baada ya kumalizana na Smouha ya Misri. Amankonah alihitajika Singida kwa ajili…

Read More

Mpina: Natimiza wajibu, sikwenda bungeni kucheza disko na mawaziri

Simiyu. Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amewajibu wanasiasa wanaosema hakuna maendeleo aliyofanya katika jimbo lake badala yake amesema  yeye hakutumwa bungeni “kucheza disco na mawaziri bali kufanya kazi”. Amewaonya wote wanaopambana naye kwamba wataishia kudhalilika kwa kuwa hawezi kucheka na waziri ambaye hatekelezi majukumu yake ipasavyo. Mpina ametoa kauli hiyo leo Mei…

Read More

Jalada la ‘Dk Manguruwe’ latua FCU kukamilisha upelelezi

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, limepelekwa Kitengo cha Uhalifu wa Kifedha (Financial Crime Unit- FCU) kwa ajili ya kukamilisha upelelezi. Wakili wa Serikali, Winiwa Kasala ameieleza Mahakama hiyo leo…

Read More

Mapya watoto wawili waliopotea Arusha, baba atajwa

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamsaka mtu mmoja anayejulikana kwa jina moja la Maiko, ambaye ni baba wa watoto wawili wanaodaiwa kupotea wilayani Arumeru mkoani Arusha akituhumiwa kuhusika na tukio hilo. Hayo yamebainika baada ya kusambaa kwa taarifa za kupotea kwa watoto wawili, Mordekai Maiko (7) na Masiai Maiko (9), wanafunzi wa Shule ya…

Read More

Polisi yamshikilia kigogo mwingine wa Chadema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limesema linamshikilia Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leonard Magere kwa tuhuma za jinai. Taarifa ya Polisi iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi leo Jumapili Julai 13, 2025 imeeleza kuwa Magere alikamatwa jana Jumamosi. “…Leonard Josephat Magere alikamatwa jana Julai…

Read More

Mfalme Zumaridi akamatwa Mwanza | Mwananchi

Mwanza. Diana Bundala, maarufu Mfalme Zumaridi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kugeuza makazi yake kuwa kanisa, kuendesha shughuli za kidini bila usajili na kuhubiri kwa sauti ya juu. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa jioni ya leo Alhamisi Mei 15, 2025 imesema Zumaridi ambaye ni…

Read More