Matukio ya utekaji, ukatili watoto yamuibua Profesa Chris Maina

Dar es Salaam. Serikali imetakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kuwabaini wanaojihusisha na vitendo vya ukatili dhidhi ya watoto ukiwemo utekaji, ili kutokomeza matukio yanayoendelea nchini. Ushauri huo unatolewa katika kipindi ambacho, kumeripotiwa matukio kadhaa ya madai ya kutekwa na kutoweka kwa watoto nchini. Hata hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni alikiri kuwepo kwa matukio…

Read More

Lissu koleza moto ‘No reform no election’ akielekea Singida

Morogoro. Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kujipanga kudai mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi chini ya kaulimbiu ya “Hakuna mabadiliko, hakuna Uchaguzi. Lissu ametoa wito huo leo Februari 14, 2025 alipokuwa akiwasalimia wanachama wa chama hicho waliofika kumlaki katika eneo la Msamvu, Manispaa ya Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani…

Read More

Joshua azikwa, mwanafunzi mwenzake asimulia alivyonusurika mashambulizi ya Hamas

Simanjiro. Mwanafunzi mwenzake wa Joshua Mollel aliyekuwa naye Israel amesimulia jinsi alivyonusurika na mashambulizi ya mabomu ya kikundi cha wapiganaji wa Hamas, kwa kuishi ndani ya handaki kwa siku tatu. Ezekiel Kitiku, aliyekuwa miongoni mwa wanafunzi 260 waliokuwapo Israel, amesema anamshukuru Mungu kwa kunusurika katika tukio hilo. Kitiku, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha…

Read More

Mkuyu ulionyongea watu sasa unatoa digrii

Mji wa Dodoma una historia ya kuvutia kuanzia chimbuko la jina lenyewe hadi simulizi za mti uitwao mkuyu uliotumika kunyongea watu na kuwazika. Kuna uhusiano mkubwa wa asili ya neno Dodoma na mahala ulipo mti huo ambao kwa sasa kuna Chuo kikuu cha St John, zamani sekondari ya Mazengo. Eneo hilo linajulikana kwa jina la…

Read More

MIRADI 77 INAENDELEA KUTEKELEZWA NA TANROADS NCHINI

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na utekelezaji wa miradi 77 ya ujenzi wa barabara na madaraja kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) yenye thamani ya Shilingi Trilioni 4.6. Aidha, Serikali kupitia TANROADS tayari imekamilisha kwa asilimia 100 miradi 25 ya ujenzi wa…

Read More