Wauza video za tamthilia, filamu walia na tozo, Serikali yaingilia kati

Mbeya. Wasambazaji na wauzaji wa movies, Muziki na Filamu jijini Mbeya wamelalamikia baadhi ya mawakala wanaopita kukusanya fedha kinyume na utaratibu, wakiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru vibarua na usalama wao katika shughuli zao. Imeleezwa kuwa mawakala hao hujitambulisha kutoka Umoja wa wasambazaji Movies ‘Films Distributers’, ambapo hupita kila kibanda kukusanya Sh10,000 kwa kila wiki,…

Read More

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Hill Dickinson. Everton walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo za mchezo huo, huku Beto…

Read More

Mambo 10 muhimu kwa Muislam siku ya Eid

Dar es Salaam. Sikukuu ya Eid ni miongoni mwa siku muhimu zaidi kwa Waislamu duniani, ikiwa ni hitimisho la ibada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Siku hiyo huadhimishwa kwa furaha, ibada na mshikamano wa kijamii. Hata hivyo, mbali na sherehe, kuna mambo kadhaa ya msingi ambayo Muislam anapaswa kuyazingatia ili kuifanya siku hiyo kuwa yenye…

Read More

Siri ya ndoa kudumu iko hapa

Dar es Salaam. Ndoa na uhusiano wa kimapenzi ni safari ya maisha yenye changamoto, mafanikio na mafunzo. Ili ndoa au uhusiano udumu, kuna mambo ya msingi yanayopaswa kuzingatiwa na wanandoa au wapenzi, ambayo makala haya itayaangazia. Mojawapo ya mambo hayo ni mawasiliano. Haya ni moyo wa uhusiano wowote. Wanandoa au wapenzi wanapaswa kuwa na uwezo…

Read More