Manula apewa ‘Thank You’ | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Ashi Manula ametemwa kwenye kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao wa 2024/25 baada ya timu hiyo kutambulisha makipa wanne huku jina lake likiondolewa. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally ndiye alikuwa anataja majina ya mastaa wa kikosi hicho msimu ujao katika tamasha la Simba Day linalofanyika Uwanja wa…

Read More

Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda. Ndiyo, kama ambavyo Simba ilivyokuwa Kwa Mkapa kuhitimisha tamasha la Simba Day na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda au kama jana…

Read More

Upinzani wataka kauli ya Samia kuenguliwa wagombea

Dar/Mtwara. Vyama vya siasa vya upinzani vimemuangukia Rais Samia Suluhu Hassan, vikimuomba kuingilia kati kuhusu kuenguliwa wagombea wake katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji utakaofanyika Novemba 27, mwaka huu. Jana Ijumaa Novemba 8, 2024 baada ya Tamisemi kuweka orodha ya wagombea walioteuliwa kuwania nafasi hizo, vyama vya upinzani vililalamika kwamba wagombea wao…

Read More

Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 145 za mirungi

Dar es Salaam. Said Ndomboloa na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina mirungi zenye uzito wa kilo 145.20. Mbali na Ndombokoa, washtakiwa wengine ni Hamisi Ndomboloa na Amor Seiph. Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Februari 17, 2025, na kusomewa mashtaka…

Read More

Burundi yarekodi visa vya kwanza vya mpox – DW – 26.07.2024

Mpox, zamani monkeypox, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vinavyohamishwa kwa binadamu kutoka wanyama walioambukizwa na ambavyo vinaweza kuambukiza miongoni mwa wanadamu kupitia kugusana kimwili. Mlipuko wa kimataifa miaka miwili iliyopita ulipelekea shirika la afya duniani, WHO, kuitangaza mpox kuwa janga la dharura la kiafya linalozusha wasiwasi kimataifa, ambayo ni tahadhari kubwa zaidi linaloweza…

Read More