Tanzania kutengeneza mkakati wa muda mrefu wa kaboni
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Ashatu Kijaji amesema Tanzania iko katika hatua za awali za kutengeneza mkakati wa muda mrefu wa kaboni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema hayo wakati alipokutana na mabalozi wanaoziwakilisha nchi nne nchini ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa…