Tanzania kutengeneza mkakati wa muda mrefu wa kaboni

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Ashatu Kijaji amesema Tanzania iko katika hatua za awali za kutengeneza mkakati wa muda mrefu wa kaboni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema hayo wakati alipokutana na mabalozi wanaoziwakilisha nchi nne nchini ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WADAU KUFANIKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

NA MWANDISHI WETU  PUMA Energy Tanzania imetakiwa kushirikiana na wadau mbalimbali nchini kufanikisha azma ya Serikali ya kuhakikisha inatekeleza ipasavyo mkakati wa taifa wa nishati safi ya kupikia unaolenga asilimia 80 ya wananchi kutumia gesi ifikapo mwaka 2034. Wito huo umetolewa Oktoba 25, 2024 Jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya…

Read More

Serikali Yajipanga Kuibua, Kukuza Vipaji

Serikali Mkoani Morogoro imesema Serikali imejipanga kuibua na kukuza vipaji vya vijana na wananchi Mkoani humo hususan katika michezo ikiwemo Riadha, Gofu na Mpira wa Miguu kwa manufaa ya wanamorogoro na taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Ali Malima wakati akifunga mashindano ya siku ya Olimpiki –…

Read More

Nani Kukupatia Mzigo wa Maana Leo?

KAMA kawaida kila siku kuna mechi kibao za ushindi zinapigwa kwenye Mataifa mbalimbali, mechi za michuano kibao kuendelea leo. Meridianbet inakukaribisha utengeneze jamvi lako sasa. Mechi za kufuzu CONFERENCE LEAGUE zinaendelea siku ya leo FSV Mainz 05 atakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Rosenborg BK kutoka kule Norway huku wakipewa ODDS 3.80 kushinda mechi hii ya…

Read More

Mbowe amtaka Samia kuunda tume utekaji watu 200

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka yake kwa mujibu sheria ya uchunguzi mahsusi kuunda tume ya kimahakama ya majaji kuchunguza tuhuma za utekaji wa watu zaidi ya 200 ambao wengi wao wanadaiwa kutekwa na vyombo vya dola. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

Matokeo ya robo ya mwisho 30 Juni 2024

JUMLA ya wateja imeongezeka kwa asilimia 8.6% hadi milioni 155.4. Upenyaji wa wateja wa data unaendelea kuongezeka, na kusababisha ongezeko la 13.4% la wateja wa data hadi milioni 64.4. Matumizi ya data kwa kila mteja yaliongezeka kwa 25.1% hadi GB 6.2, huku upenyezaji wa simu mahiri ukiongezeka kwa 4.7% hadi kufikia 41.7%.  Ukuaji wa wateja…

Read More