‘Malaya’ amng’oa RPC Dodoma – Mwanahalisi Online
SAKATA la binti anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa na vijana watano, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini – IGP, Camilius Wambura kumhamisha Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, SACP Theopista Malya kwenda makao makuu ya polisi Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Malya ambaye nafasi yake imechukuliwa na SACP George…