CHAN 2024: Kipa Madagascar achekelea robo fainali

BAADA ya kuisaidia timu yake kutinga hatua ya robo fainali Michuano ya CHAN na akiibuka mchezaji bora, kipa wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa ametaja siri ya timu yake kutinga hatua hiyo ni kumsoma mpinzani na kujiandaa vyema. Madagascar imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1, huku Ramandimbozwa akiitwaa tuzo ya pili ya nyota…

Read More

Shule zageuzwa ‘madanguro’ Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Kutotekelezwa kikamilifu kwa Mwongozo wa Malezi, Unasihi na Ulinzi wa Mtoto kwa Shule na Vyuo vya Ualimu Tanzania wa mwaka 2020, kunahatarisha usalama na  afya kwa wanafunzi, uchunguzi wa Mwananchi umebaini. Mbali na hilo, hali hiyo pia inachangia kuwapo kwa mmomonyoko wa maadili miongoni mwa wanafunzi. Uchunguzi uliofanywa na waandishi wa habari…

Read More

Watuhumiwa wa mauaji  Himo, wana kesi ya kujibu

Moshi. Mkemia Mkuu wa Serikali, Leonidas Michael, ambaye alifanya uchunguzi wa vina aba (DNA) wa mabaki ya mwili wa Josephine Mngara (30),  anayedaiwa kuuawa kwa kuteketezwa kwa moto, amesema uchunguzi umebaini kwamba kuna uhusiano wa vinasaba kati ya mabaki hayo, na sampuli ya damu kutoka kwa mama aliyedai marehemu alikuwa ni mtoto wake. Mkemia mkuu…

Read More

Nchini Zimbabwe, nguo za pili kutoka Magharibi zinaanguka katika tasnia ya nguo – maswala ya ulimwengu

Muuzaji huzungumza na mteja katika soko la nguo za mkono wa pili huko Mutare, Zimbabwe. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Mutare, Zimbabwe) Alhamisi, Oktoba 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MUTARE, Zimbabwe, Oktoba 23 (IPS) – Shamiso Marambanyika husaidia mteja wa kiume katika kuchagua jozi ya jeans Jumamosi asubuhi huko Mutare,…

Read More

Tanzania yaanza kujipanga uzalishaji umeme kwa nyuklia

Dar es Salaam. Mpango wa Tanzania kutumia nyuklia kama chanzo cha nishati umeanza, baada ya kusaka teknolojia ya kuzalisha umeme kwa nishati hiyo bila kusababisha madhara. Hatua hiyo inakuja wakati Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (Taec) imeingia makubaliano ya kushirikiana na Shirika la Global Center for Nuclear Energy Partnership la nchini India. Makubaliano haya…

Read More

VODACOM YAWAJENGEA UWEZO WA TEHAMA WANAFUNZI WA KIKE MKOANI DODOMA KUPITIA PROGRAMU YA ‘CODE LIKE A GIRL’

Meneja Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Kati,Latifa Salum (kushoto) akimkabidhi zawadi ya begi mwanafunzi wa shule ya sekondari Mnadani, Swaibath Abdalah kwa kufanya vizuri kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo wanafunzi wa kike katika masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kupitia programu ya Code like a Girl yaliyofanyika Chuo kikuu…

Read More

Kwa nini mtoto wa mwajiriwa hawi mjasiriamali?

Katika jamii nyingi, kuna mtazamo unaojitokeza mara kwa mara kwamba watoto wa waajiriwa huwa na uwezekano mdogo wa kuwa wajasiriamali wakubwa wanapokua. Ingawa si sheria ya jumla, kuna sababu nyingi za kijamii, kisaikolojia na kimfumo zinazochangia hali hii. Ukweli huu unapaswa kuchambuliwa kwa kina ili jamii iweze kuhamasisha kizazi kipya kujifunza ujasiriamali, bila kujali aina…

Read More