Mvua yasababisha nyumba 10 kuzingirwa na maji Musoma

Musoma. Zaidi ya nyumba 10 pamoja na kituo kimoja cha afya zimezingirwa na maji kufuatia mvua zilizonyesha katika manispaa ya Musoma usiku wa kuamkia leo Agosti 18, 2025 na kusababisha mafuriko katika baadhi ya mitaa. Kufuatia hali hiyo, kituo hicho kilichopo Kata ya Bweri kinachomilikiwa na Kanisa la African Inland Church (ACT) kimelazimika kusitisha huduma…

Read More

Wakuu wa mikoa, wilaya wanaendeleza ubabe

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bado wakuu wa wilaya na mikoa hawafuati waraka uliotolewa na Serikali unaoelekeza uzingatiaji wa sheria na kanuni katika utekelezaji wa mamlaka yao ya ukamati badala yake wanaendeleza ubabe. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Waraka huo namba moja uliotolewa mwaka 2023 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka ulielekeza wakuu hao wa…

Read More

Mwana FA: Watanzania msiisuse Taifa Stars

NAIBU Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma “Mwana FA” amewaomba Watanzania kutoisusa timu yao ya Taifa Stars pindi inapokuwa inapata changamoto ya matokeo. Kauli ya kiongozi huyo imekuja kutokana na Watanzania kuonekana kukata tamaa baada ya Stars kutoka suluhu dhidi ya Ethiopia nyumbani katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Afcon kabla ya kushinda…

Read More

Watumishi CBE wahimizwa kuishi kwa upendo

  Wutumishi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi kuu ya Dar es Salaam wamehimizwa kuishi kwa upendo na kushirikiana muda wote wanapokuwa katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku ili kutoa huduma bora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza leo Oktoba 04, 2024 Kampasi kuu ya Dar es Salaam katika…

Read More