REA yahamasisha matumizi ya nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi za kupikia kwa lengo la kuwezesha utunzaji wa mazingira, kuboresha afya na ustawi wa jamii ikiwamo kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Mhandisi wa Miradi kutoka REA, Kelvin Tarimo amesema hayo leo Septemba 04,…

Read More

Yanga wapo sawa kuhamia KMC

Wakati Yanga ikitangaza kuhamia KMC Complex kutoka Azam Complex, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa tamko. Awali wakati Yanga ikitangaza kuhama uwanja, Bodi ya Ligi ilibainisha imepokea ombi lao lakini haijalitolea uamuzi. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda alisema Kanuni ya 9(4) inawapa haki Yanga na timu nyingine ambazo…

Read More

Fumbo la Samia, nani wa kuipasua CCM?

Dodoma. Kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan juu ya ‘wenye dhamira ya kukipasua chama hicho’ imekuwa kama fumbo ambalo limewaacha wanachama wa chama hicho na tafakuri tofauti, kila mmoja akiichambua kivyake. Aidha, kauli hiyo imeelezwa na wasomi wa sayansi ya siasa kuwa inaashiria kwamba ndani hakuko shwari. Rais Samia…

Read More

JAMII YAASWA KUENZI MILA YA UNYAGO ILI KULINDA MAADILI

Mkufunzi Dkt. Lovemore Mazibuko (kushoto) akimsikiliza mmoja wa washiriki aliyekuwa akitoa ufafanuzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa utamaduni kuhusu namna ya kuandaa orodha ya kitaifa ya urithi wa utamaduni usioshikika yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) yaliyowakutanisha wataalamu kutoka wizara za Utamaduni na Sanaa Tanzania…

Read More

Kocha Singida apewa malengo mazito

UNAWEZA kuona kama mapema hivi lakini sio kwa Singida Black Stars baada ya kumshusha kocha Hamid Miloud na kumwambia anatakiwa kuhakikisha timu inashiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Kocha huyo ambaye ametambulishwa rasmi juzi, amewahi kuifundisha Al-Khaldiya FC, USM Alger na JS Kabylie za kwao Algeria, Al-Salmiya ya Kuwait, Athletico Marseille na ES Vitrolles za…

Read More

KIKAO CHA 19 CHA KAMATI YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WAFANYIKA ARUSHA

Kikao cha 19 cha Kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kimefanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro kikihusisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali. Kikao hicho kimekusudia kujadili maendeleo ya mifuko na programu za uwezeshaji hapa nchini ikiwemo inayotoa mikopo, dhamana, ruzuku pamoja na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi. Washiriki wa kikao hiki…

Read More

Urusi yaandamwa na matukio ya kuchomwa moto taasisi zake – DW – 22.12.2024

Urusi imeshuhudia wimbi la majaribio ya matukio ya kuwashwa moto yakilenga mabenki,vituo vya biashara, ofisi za posta na majengo ya serikali. Matukio hayo yameonekana kufanyika katika kipindi cha siku tatu zilizopita ikielezwa kwamba takriban matukio 20 tofauti yamerikodiwa, ya watu kujaribu kuwasha vifaa vya miripuko  au kuwasha baruti katika majengo tangu Ijumaa hasahasa kwenye miji…

Read More