KUELEKEA UFUNGUZI WA SOKO: SHIRIKA LA MASOKO LAWEZESHA SHUGHULI ZA ZIMAMOTO NA UKOAJI KATIKA ENEO LA KARIAKOO.

Shirika la Masoko ya Kariakoo, katika kuimarisha shughuli za zimamoto na ukoaji katika maeneo ya Kariakoo limelipatia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kizimamoto Ilala Ofisi na eneo la kuegesha gari lao kwa ajili ya shughuli zao ili kupunguza usumbufu kwa wananchi wa maeneo hayo wakati majanga ya moto yanapojitokeza. Hayo yamesemwa na Meneja…

Read More

Dawasa yaeleza changamoto, utatuzi wa majitaka Kariakoo

Dar es Salaam. Ujenzi wa maghorofa, hasa unaofanyika usiku bila usimamizi wa kitaalamu, pamoja na biashara ya vyakula umechangia kwa kiasi kikubwa changamoto za majitaka maeneo ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam. Wamiliki wa majengo na baadhi ya wataalamu wa ujenzi hupeleka michoro ya majengo iliyo sahihi, lakini hubadilisha miundombinu ya majitaka na maji ya…

Read More

TADB yafikia amana ya Sh. trilioni 1.3

 Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeendelea kuimarisha uwezo wake wa kifedha baada ya amana zake kuongezeka na kufikia shilingi trilioni 1.3, hatua inayotokana na mafanikio ya utoaji mikopo katika mnyororo wa thamani wa sekta ya kilimo.Akizungumza na vyombo vya habari leo Januari 29, 2026, Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Fedha wa benki…

Read More

Sababu za kufungiwa uwanja KMC hizi hapa

Saa chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuufungia Uwanja wa KMC Complex, sababu mbili zimetajwa kusababisha maamuzi hayo, huku ishu ya Kibwana Shomary kubebwa na baunsa ikiwemo. TFF imeufungia uwanja huo ambao umekuwa ukitumiwa na timu za Yanga na KMC kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara kwa kile ilichoeleza kukosa vigezo vya…

Read More

Rais Samia Aunga Mkono Michoro ya Mguso

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mwalimu Mhakiki wa Maandishi ya Breli na Michoro ya Mguso kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania Bi. Hadija Salum wakati akitoa maelezo kuhusu matumizi ya michoro ya mguso katika ufundishaji wa watoto wa Elimu ya Awali, Wanafunzi wa Darasa la Kwanza na la…

Read More

WAFANYABIASHARA MSIWAUMIZE WANANCHI-DKT. MWIGULU

……………. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara nchini kutowaumiza Watanzania kwa kupandisha bei za bidhaa hususani kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na mfungo wa Kwaresma kwa kuwa nchi kwa sasa haina upungufu wa chakula. Amesema licha ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) nchini kutangaza kuwepo kwa upungufu wa…

Read More

DK.JAFO AIBANA WIZARA YA UJENZI KUTENGA BAJETI YA BARABARA YA LAMI MLANDIZI-MZENGA-BOGA

  Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akiuliza swali la nyongeza leo Januari 29,2026 bungeni jijini Dodoma. … Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mlandizi–Mzenga–Maneromango kwa kiwango cha lami, akisisitiza kuwa ni barabara muhimu kwa shughuli…

Read More