Serikali yatahadharisha upandishaji bei kipindi cha Kwaresma, Ramadhani
Dodoma. Serikali imetoa rai kwa wafanyabiashara kutotumia kigezo cha uwepo wa mfungo wa kwaresma na ramadhani kupandisha bei za vyakula kwakuwa ndani ya nchi kipo chakula cha kutosha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa onyo kwa wafanyabiashara kuwa siyo jambo jema na haipendezi kuona wafanyabiashara wakitumia nafasi hiyo kupandisha bei za vyakula eti kwa kisingizio…