‘Dhoruba kamili’ ya misiba ya ulimwengu iliendesha miaka ya bei ya chakula: FAO – Maswala ya Ulimwenguni

Ripoti hiyo, kutolewa baadaye mwezi huu, inaonyesha jinsi kati ya 2020 na 2024, ulimwengu ulipata ongezeko kubwa la bei ya chakula inayoendeshwa na mchanganyiko wa COVID 19 Mfumuko wa bei, vita nchini Ukraine kuzuia harakati juu ya chakula na bidhaa, na kuongeza mshtuko wa hali ya hewa. “Vipindi vilivyoelezewa katika chapisho hili huleta kile tunachokiita…

Read More

Penzi lilivyosababisha mauaji ya mke, mume jela miaka minane

Dar es Salaam. Waswahili husema ‘mapenzi yanaua.’ Msemo huu unaweza kueleza tukio la Erick Buberwa kumuua mkewe bila kukusudia, baada ya kutokea ugomvi uliosababishwa na kunyimwa haki ya ndoa. Hii ni baada ya Erick, wakiwa chumbani na mkewe Mercy Mukandala, kumuomba mkewe tendo la ndoa akakataa, akamwambia yeye (Mercy) ana mwanamume mwingine anayempenda zaidi yake…

Read More

Hofu yazidi uokoaji ukiendelea mgodini Shinyanga, waliokolewa wafikia saba

Shinyanga. Hofu na wasiwasi vimezidi kuongezeka wakati shughuli za uokoaji zikiendelea kwenye mgodi wa wa Chapakazi wilayani Shinyanga, ili kuwapata mafundi 18 walionasa ardhini kwa siku ya tano. Mwananchi lilishudia uopoaji wa miili ya walionasa katika mgodi huo shughuli iliyokuwa ikifanywa na vyombo vya ulinzi kwa kushirikiana na wananchi, huku viongozi wa Serikali ya Wilaya…

Read More

DP WAIBUKA NA SERA YA KUBORESHA KANUNI ZA KIKOKOTOO ENDAPO WATAPATA RIDHAA YA KUONGOZA NCHI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MGOMBEA Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Siasa cha Democratic Party (DP),Abdul Mluya,amesema endapo chama hicho kitapata nafasi ya kuongoza Nchi moja ya kipaumbele chao ni kwenda kusimamia suala la Kikokotoo. Mluya ambaye aliambatana na mgombea mwenza Saodun Abraham Khatibu ameyazungumza hayo mbele ya waandishi wa habari mara baada ya…

Read More

Fadlu aleta kiungo fundi kutoka Morocco

SIMBA imekamilisha jumla ya mechi 10 za Ligi Kuu Bara ikikusanya pointi 25 na mabao 21, huku ikiruhusu mabao matatu tu hadi sasa wakati ligi hiyo ikienda mapumziko ya wiki mbili, lakini kuna kitu ambacho kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids ameamua kukifanya katika kuimarisha kikosi hicho dirisha dogo. Kwa wanaokumbuka Mwanaspoti liliwahabarisha Fadlu…

Read More

Jiji la Mbeya laagiza meneja, mkandarasi mradi wa Sh21 bilioni kuondolewa

Mbeya.  Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza  Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao na kusababisha miradi kusuasua. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Mei 23, 2024 ofisini kwake, Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo baada ya kufanya…

Read More

Bruno aokoa mtu kwenye ndege

MANCHESTER, ENGLAND: NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes aligeuka shujaa baada ya kuokoa maisha ya mwanamume mmoja kwenye ndege akiwa anakwenda jijini Lisbon, Ureno kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha timu ya taifa hilo. Kitendo hicho ambacho kilitokea baada ya mwanamume huyo aliyekuwa siti za nyuma ya ndege hiyo kuzidiwa na kuanguka chini, kimepokelewa…

Read More