Mbinu Mpya Zinahitajika Haraka Ili Kukabiliana na Migogoro ya Kijamii Huku Huzuka Tena – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni by Jomo Kwame Sundaram (kuala lumpur, Malaysia) Alhamisi, Desemba 05, 2024 Inter Press Service KUALA LUMPUR, Malaysia, Des 05 (IPS) – Licha ya kuimarika kwa uchumi usio sawa tangu janga hilo, umaskini, kukosekana kwa usawa, na uhaba wa chakula unaendelea kuwa mbaya zaidi, ikiwa ni pamoja na eneo la Asia-Pacific, ambalo lilikuwa na maisha…

Read More

Tamasha la Utamaduni na Utalii kutimua vumbi Bariadi

Baadhi ya wapiga ngoma na waimbaji kutoka Makundi ya Wagika na Wagulu wakipasha ili kujiandaa na Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa. Hatimaye Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa – Lake Zone Cultural and Tourism Festival lililokuwa linasubiriwa kwa hamu sasa linatarajiwa kuanza rasmi kesho Julai 5, 2024 Tamasha hilo la…

Read More

Mikakati ya Serikali kuipa nguvu ATCL

Dodoma. Serikali imesema miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 itakayopewa kipaumbele,  ni pamoja na ufufuaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 6, 2024 na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa wakati akiwasilisha bungeni mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…

Read More

FCC yataka Wajasiriamali na Wafanyabiashara kufungasha bidhaa zao kwa ubora

Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Wakulima,Wafugaji pamoja na Wavuvi  kutumia Pembejeo zenye wakati alipotembelea Mabanda mbalimbali  kwenye Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma Katika kulinda ubandia wa bidhaa na kuua mitaji Na Chalila Kibuda ,Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa…

Read More

MAPACHA WAHITAJI MSAADA BAADA YA MAMA YAO KUPATA MARADHI YA MOYO ALIPOJIFUNGUA

Baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Kongowe Kibaha mkoani Pwani wakiwajulia hali watoto mapacha ambao mama yao amepata maradhi ya moyo baada ya kujifungua. ……………………………….. Na Dotto Mwaibale, Dar es Salaam WATOTO Mapacha ambao mama yao amepata changamoto ya maradhi ya moyo muda mfupi tangu alipojifungua wakazi wa Kongowe Kibaha mkoani…

Read More