BOSS WA OYA MICROCREDIT RICHARD QUAYE AAHIDI NEEMA KWA WATANZANIA.
Kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa la Tanzania imetajwa kuwa kivutio kwa baadhi ya wawekezaji kutoka maeneo mbalimbali, ikiwemo ya kifedha kuendelea kuwekeza nchini kutokana na uhakika wa soko pamoja na usalama wa mitaji yao. Hayo yamesemwa na wawekezaji kutoka nchini ghana ambao wamefanya ziara nchini kuja kuangalia maendeleo ya uwekezaji wa moja ya…