Hospitali ya Aga Khan yatunukiwa tuzo mbili kimataifa

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam (AKH-D), imeandika historia mpya, baada ya kutunukiwa tuzo mbili katika Kongamano la 48 la Hospitali Duniani. AKH-D imetunukiwa tuzo hiyo na Shirikisho la Kimataifa la Hospitali (IHF), ikiwa miongoni mwa taasisi chache kutoka Afrika Mashariki zilizofanikiwa kutambulika kwa ubora, uongozi thabiti na uwajibikaji wa kijamii….

Read More

Jumapili hapatoshi, kolabo la SBL na 1245


Ile Jumapili uliyoizoea ya kukaa kinyonge hatimaye imeondolewa kwenye kalenda, HAIPO TENA! Wakali wa muda wote wa kutengeneza na kusambaza pombe kali na bia nchini hawa si wengine bali ni Serengeti Breweries Ltd wakishirikiana na club inayobamba mjini 1245 wameigeuza Jumapili yako kuwa Ijumaa mpya. Unaambiwa sasa siku za Jumapili zitakuwa maalamu za kula bata…

Read More

Mashambulizi ya Iran yapandisha bei ya mafuta

Muda mfupi kabla ya Iran kurusha mamia ya makombora Israel usiku wa kumkia leo Oktoba 2, 2024, tayari bei ya mafuta imeshaanza kupanda. Mashambulio hayo yanakuja kufuatia vita vinavyoendelea kati ya Israel na Kundi la Hezbollah la Lebanon. Israel ilianzisha mashambulizi katika Mji wa Beirut nchini Lebanon wiki iliyopita na kusababisha mauaji ya aliyekuwa kiongozi…

Read More

Polisi, Bavicha ‘ngoma bado Mbichi’ kongamano Mbeya

Dar/Mbeya. Magari 20 aina ya Coaster yaliyobeba vijana wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), yanadaiwa kuzuiliwa na Jeshi la Polisi kwenda mkoani Mbeya kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani. Hata hivyo, baraza hilo limeweka wazi kila kinachofanywa dhidi yao kuelekea siku hiyo, hakitakuwa kikwazo cha kuadhimishwa kwa siku ya vijana na maandalizi yanaendelea….

Read More

Vifo kutokana na mafuriko Mlimba vyafikia 49

Dar es Salaam. Msemaji wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema idadi ya vifo vilivyotokana na mafuriko katika Halmashauri ya Mlimba, mkoani Morogoro imefikia 49. Msemaji wa Serikali ameeleza hayo leo Aprili 20, 2024 jijini Dar es Salaam, wakati akitoa taarifa juu ya hali ya mafuriko nchini na ratiba ya sherehe ya Muungano itakayofanyika Aprili 26, mwaka huu. …

Read More

Golugwa, wenzake wa Chadema waachiwa

Dar es Salaam. Wakili wa Golugwa, Dickson Matata ameliambia Mwananchi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-bara, Aman Golugwa ameachiwa usiku huu baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu kwa saa kadhaa. Matata ameeleza hilo leo Mei 13, 2025 kufuatia taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es…

Read More