ACT-Wazalendo wapinga uchaguzi Zanzibar kufanyika siku mbili

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesisitiza msimamo wake wa kupinga uchaguzi mkuu kufanyika siku mbili visiwani Zanzibar, kikitaka ufanywe siku moja. Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman amesema hawatakubali jambo hilo liendelee. Othman ambaye pia ni makamu wa kwanza wa Rais visiwani humo, anakuja na hoja hiyo ilhali ni takwa la kisheria iliyotungwa kwa lengo…

Read More

Mafanikio ya Kampeni ya Polio huko Gaza wakati mvutano wa Benki ya Magharibi unaendelea – Maswala ya Ulimwenguni

Kampeni hiyo imeongezwa hadi Jumatano ili kuhakikisha chanjo kamili, msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari kwenye mkutano wa habari wa kawaida huko New York, akitoa mfano wa waratibu wa kibinadamu wa UN. Kama Jumatatu, siku ya tatu ya kampeni, wengine Watoto 548,000 walikuwa wamewekwa ndani, au asilimia 93 ya idadi ya walengwa….

Read More

MADAKTARI BINGWA KUTOKA MIKOA YA MBEYA,SONGWE NA RUVUMA WAPIGA KAMBI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA WANANCHI RUVUMA

TIMU ya madaktari Bingwa kutoka mikoa ya Ruvuma,Songwe na Mbeya wameanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa Songea(Homso)Dkt Majura Magafu amesema,uchunguzi na matibabu hayo yatahusisha magonjwa ya akina Mama,magonjwa ya ndani kama vile shinikizo la damu,kisukari na figo….

Read More

Mbeya City yaanza usajili Ligi Kuu Bara, Malale naye ndani

Timu ya Mbeya City imesema wakati ikiendelea na usajili, lakini upande wa benchi la ufundi imeshamalizana na Kocha Mkuu, huku ikikiri wapo wachezaji watakaoachwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo matakwa yao. Pia imesema baada ya kufanikiwa kutimiza malengo ya kucheza Ligi Kuu msimu ujao, itaandaa sherehe Mei 31 kupongezana kutimiza malengo. Akizungumza leo Jumapili Mei…

Read More

Aliyeachiwa huru kwa ulawiti afungwa maisha

Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, kupitia Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeitengua hukumu ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ambayo awali ilimuachia huru Julius Meela aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la ulawiti. Katika rufaa hiyo ya jinai  ya mwaka 2024 iliyokatwa na Jamhuri dhidi ya Meela, hukumu iliyotolewa Julai 18, 2025 na Jaji David Ngunyale…

Read More