TASAC YATOA ELIMU YA UTUNZAJI MAZINGIRA DODOMA

  Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC, leo tarehe 02 Juni, 2025 limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda lao jijini Dodoma. TASAC imetoa elimu hiyo kwa wadau na wananchi wa Dodoma katika Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2025 yanayofanyika kuanzia tarehe 01 – 05 Juni, 2025 jijini humo. …

Read More

VIDEO: Shahidi aeleza jinsi pikipiki yenye GPRS ilivyoporwa

Dar es Salaam. Shahidi wa saba katika kesi ya mauaji ya dereva wa bodaboda inayomkabili mshtakiwa Ibrahim Othman maarufu Boban, ameeleza Mahakama namna mshtakiwa alivyoshindwa kuondoa GPRS iliyofungwa katika pikipiki aliyoiba na kisha kuitelekeza. Shahidi huyo, F 5818 Sajent Samwel ametoa ushahidi wake jana Julai 29, 2024 katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,…

Read More

KMC yampigia hesabu Nicholas Gyan

KMC inayoburuza mkia Ligi Kuu Bara inadaiwa ipo katika mawindo ya kumnasa winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana Nicholas Gyan kupitia dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Januari Mosi hadi 31, mwakani. Timu hiyo ambayo kwa sasa ipo chini ya kocha Abdallah Mohammed ‘Baresi’, ilianza msimu kwa kushinda mechi moja kati ya tisa ilizocheza,…

Read More

UKOMBOZI WA KIUCHUMI NI SAFARI NDEFU, SADC YAKUMBUSHWA

Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea.  Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara za Kimataifa wa Zimbabwe, Prof. Amon Murwira kabla ya kukabidhi uenyekiti wa…

Read More

SBL yakabidhi mradi wa maji kwa wakazi 12,000 kijiji cha Kabila, Magu

  KAMPUNI ya Bia Serengeti na shirika lisilo la kiserikali, African Community Advancement Initiative (AFRIcai) wamezindua  mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 215  katika Kijiji cha Kabila wilayani Magu mkoani Mwanza ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea). Ukiwa na uwezo kwa  kuhudumia wakazi…

Read More

BILIONI 5.8 KUBORESHA BARABARA YA MOSHI-ARUSHA ENEO LA KWA MSOMALI

Hai, Kilimanjaro Serikali imepata mwarobaini wa kudhibiti changamoto ya miundombinu katika eneo korofi la Kwa Msomali, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, ambalo limekuwa kikwazo kwa mamia ya wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Moshi-Arusha. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi eneo la mradi kwa mkandarasi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema mradi huo utahusisha ujenzi wa…

Read More

Ushiriki wa Marekani utamaliza vita DRC?

Dar es Salaam. Tangu mwanzoni mwa 2025 kumekuwa na mjadala kuhusu uwezekano wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Marekani katika sekta ya madini muhimu. DRC, Taifa lenye utajiri wa rasilimali kama kobati, lithium, urani, shaba, dhahabu na madini mengine adimu, imekuwa ikitafuta washirika wa kimataifa kuwekeza katika sekta…

Read More