Majaji wabainisha mlango aliopaswa kupita Mpina

Dodoma. Ni kama vile Mahakama Kuu iliyosikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa na Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini ya ACT-Wazalendo, imewaonyesha wadai hao mlango wanaoweza kupita kuendelea kudai haki yao. Mpina na Bodi hiyo walifungua shauri la kikatiba dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kupinga hatua…

Read More

Aweso asimulia magumu mradi wa maji uliokwama miaka 19

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameeleza magumu aliyopitia na watendaji wengine wa Serikali katika utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe hadi kusababisha wengine wafukuzwe kazi. Amesema ni katika utekelezaji wa mradi huo, Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango aliahidi kuacha kazi iwapo kazi hazitakwenda sawa, jambo lililomfanya Aweso ahisi kutenguliwa katika…

Read More

Zitto ashauri upinzani kuungana kwenye chaguzi kuing’oa CCM

Dar es Salaam. Kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mbinu ya kukishinda chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji, vitongoji Novemba 27, 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 ni vyama vya upinzani kuungana. Kutokana na hilo, mbunge huyo wa zamani wa Kigoma Kaskazini, amevishauri vyama vya upinzani kukaa meza…

Read More

Heri ya uzee wa kina Chama, kuliko ubishoo wa wazawa!

NI kweli tunadanganywa. Na tunajua kabisa tunadanganywa na nyota wa kigeni wanaokuja kucheza soka la kulipwa hapa nchini. Tunajua wengi huwa na umri mkubwa zaidi ya ule uliopo katika pasipoti zao. Lakini tunamezea kwa vile hata wachezaji wazawa nao kamba nyingi. Wazawa nao wanatudanganya sana kwa kufeki umri. Kibaya zaidi, kuna baadhi ya wachezaji wanasaidiwa…

Read More

Wanavyoizungumzia Siku ya Kimataifa ya Demokrasia

Dar es Salaam. Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia ambapo baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wametoa jumbe zao kuhusiana na siku hii ikiwemo kuhimiza kuzingatiwa kwa demokrasia nchini. Siku ya Kimataifa ya Demokrasia huadhimishwa kila Septemba 15 ya kila mwaka ambapo ulimwengu hutafakari umuhimu wa demokrasia katika maisha ya…

Read More