Sababu za kufungiwa uwanja KMC hizi hapa
Saa chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuufungia Uwanja wa KMC Complex, sababu mbili zimetajwa kusababisha maamuzi hayo, huku ishu ya Kibwana Shomary kubebwa na baunsa ikiwemo. TFF imeufungia uwanja huo ambao umekuwa ukitumiwa na timu za Yanga na KMC kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara kwa kile ilichoeleza kukosa vigezo vya…