Sababu za kufungiwa uwanja KMC hizi hapa

Saa chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuufungia Uwanja wa KMC Complex, sababu mbili zimetajwa kusababisha maamuzi hayo, huku ishu ya Kibwana Shomary kubebwa na baunsa ikiwemo. TFF imeufungia uwanja huo ambao umekuwa ukitumiwa na timu za Yanga na KMC kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara kwa kile ilichoeleza kukosa vigezo vya…

Read More

Rais Samia Aunga Mkono Michoro ya Mguso

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mwalimu Mhakiki wa Maandishi ya Breli na Michoro ya Mguso kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania Bi. Hadija Salum wakati akitoa maelezo kuhusu matumizi ya michoro ya mguso katika ufundishaji wa watoto wa Elimu ya Awali, Wanafunzi wa Darasa la Kwanza na la…

Read More

WAFANYABIASHARA MSIWAUMIZE WANANCHI-DKT. MWIGULU

……………. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara nchini kutowaumiza Watanzania kwa kupandisha bei za bidhaa hususani kipindi hiki cha kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na mfungo wa Kwaresma kwa kuwa nchi kwa sasa haina upungufu wa chakula. Amesema licha ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) nchini kutangaza kuwepo kwa upungufu wa…

Read More

DK.JAFO AIBANA WIZARA YA UJENZI KUTENGA BAJETI YA BARABARA YA LAMI MLANDIZI-MZENGA-BOGA

  Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akiuliza swali la nyongeza leo Januari 29,2026 bungeni jijini Dodoma. … Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mlandizi–Mzenga–Maneromango kwa kiwango cha lami, akisisitiza kuwa ni barabara muhimu kwa shughuli…

Read More

Tume yakutana na Spika Mstaafu Anne Makinda

DAR ES SALAAM: TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 29, 2026, imekutana na Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda. Mkutano huo wa Tume na Makinda umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Yazindua Ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025, ikionesha Maendeleo ya Tanzania na Vipaumbele vya Mageuzi ya Kiuchumi.

Benki ya Absa Tanzania Tanzania imezindua rasmi ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025 kwa Tanzania katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam Leo.  Hafla hiyo imewakutanisha watunga sera wakuu, wasimamizi wa sekta ya fedha, viongozi wa taasisi za kifedha pamoja na wakurugenzi wa mashirika ya umma na binafsi kujadili hali…

Read More

Mateso ‘Yasiyoeleweka Lakini Yanaepukika’ katika Hospitali za Gaza, Anasema Muuguzi wa Kujitolea – Masuala ya Ulimwenguni

Tarehe 26 Septemba 2025, watoto wanasimama nje ya hema inayotumika kwa huduma za matibabu katika Hospitali ya Al Aqsa huko Deir al Balah katika Ukanda wa Gaza. Credit: UNICEF/James Mzee na Ed Holt (bratislava) Alhamisi, Januari 29, 2026 Inter Press Service BRATISLAVA, Januari 29 (IPS) – “Sijawahi kukutana na kitu kama hicho hapo awali. Sikuwa…

Read More