Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yarajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More

Viwanda vya mbolea, tumbaku kujengwa Tabora

Tabora. Mkoa wa Tabora unatarajiwa kunufaika na ujenzi wa viwanda vya mbolea na cha kuchakata tumbaku ili kuongeza thamani ya mazao ya kilimo ya chakula na biashara sambamba na kuchochea ukuaji wa uchumi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla. Viwanda hivyo vinatarajiwa kujengwa katika kipindi kifupi kijacho, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali…

Read More

Mgombea ubunge Chaani kuondosha uhaba wa chakula

Unguja. Mgombea ubunge wa Jimbo la Chaani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ayoub Mohamed Mahmoud ameahidi kutekeleza mkakati wa maendeleo wenye nguzo nne kuu endapo atachaguliwa Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Ijumaa, Septemba 19, 2025, katika Jimbo la Chaani uliofanyika Bandamaji, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Ayoub amesema nguzo hizo ni kuimarisha usalama wa chakula, kuongeza…

Read More

 Shamsi Vuai awanadi Wanu, Haroun akiwatwisha zigo hili

Unguja. Waziri Kiongozi mstaafu, Shamsi Vuai Nahodha amewanadi wagombea wa ubunge na uwakilishi wa Jimbo la Makunduchi, akieleza kuwa ndio viongozi wanaostahili kupewa ridhaa na wananchi kutokana na uwezo wao wa kutatua changamoto mbalimbali zinazolikabili jimbo hilo. Akiwahutubia wakazi wa Makunduchi, Nahodha amewasihi wapiga kura kutofanya kosa siku ya kupiga kura, bali wawachague wagombea wenye…

Read More

Ada Tadea yaahidi ajira, kugawa mitungi ya gesi bure kwa wananchi

Tanga. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Ada Tadea, Georges Busungu, amesema wananchi wakimchagua atasaidia kupatikana kwa ajira, pamoja na kuboresha mazingira ya bandari na miundombinu kama barabara. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Ijumaa, Septemba 19, 2025, katika viwanja vya Tangamano, mkoani Tanga, amesema kwa mkoa huo endapo…

Read More

TEC yatoa taarifa misa ya kumuaga Askofu Mkuu Rugambwa

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa taarifa ya mazishi ya Askofu Mkuu, Novatus Rugambwa, aliyekuwa Balozi wa Papa nchini New Zealand. Askofu Mkuu Rugambwa alifariki dunia Septemba 16, 2025 akiwa Roma, nchini Italia. Taarifa hiyo iliyotolewa leo Septemba 19, 2025 imeeleza Sekretarieti ya TEC inawafahamisha makardinali, maaskofu wakuu, maaskofu, mapadri, watawa…

Read More

WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

……………….. 📌 Ni baada ya Dkt.Biteko kuwakabidhi  majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction Cookers). 📌 Yaelezwa kuwa majiko hayo yanatumia umeme kidogo kwa gharama ndogo Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata  elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo  ( Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na…

Read More