Afisa wa Umoja wa Mataifa aonya dhidi ya kuongezeka zaidi huku kukiwa na mashambulizi katika Yemen, Israel na Bahari Nyekundu – Masuala ya Ulimwenguni

Muhtasari wa Baraza la Usalama mjini New York, Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Mashariki ya Kati, Asia na Pasifiki, Khaled Khiari, alionya kwamba Mashariki ya Kati inashuhudia ongezeko jingine la hatari. Amesema mashambulizi ya Israel na Yemen na vilevile katika Bahari Nyekundu yanatia wasiwasi mkubwa na kuonya kwamba kuongezeka zaidi kwa kijeshi kunaweza kuhatarisha uthabiti…

Read More

Biteko: Vijijini vyote vina umeme, ni zamu ya vitongoji

Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema hadi sasa vijiji vyote nchini Tanzania vimepata umeme na Serikali inaanza kupeleka umeme katika vitongoji kwa kuanzia na vitongoji 20,000. Dk Biteko amesema hayo leo Jumamos, Mei 3, 2025, mkoani Tabora baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza nguzo…

Read More

Twanga Pepeta ya peleka burudani New Wallet Pugu

Na MWANDISHI WETU BENDI ya muziki wa dansi ya The Arican Stars Internatiobal ‘Twanga Pepeta’ inatarajia kufanya onesho kubwa na la aina yake katika Ukumbi wa New Wallet Pub, uliopo Kwa Rais, Kata ya Pugu, Ilala, jijini Dar es Salaam. Onesho hilo linatarajiwa kufanyika Julai 19 mwaka huu na litakuwa halina kiingilio. Akizungumza na waandishi…

Read More

Viongozi Bawacha wakutana Dar, Mnyika awapa maelekezo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la wakazi ni turufu itakayowawezesha kushinda viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Uandikishaji wa uchaguzi huo utakaohusisha vijiji 12, 333, vitongoji 64,274 na mitaa 4,269 utafanyika kuanzia…

Read More

Milioni 105 zaondoa adha ya maji Bisarara

Na Malima Lubasha, Serengeti Kijiji cha Bisarara kilichopo Kata ya Sedeco, Tarafa ya Rogoro wilayani Serengeti, mkoani Mara, kimeondokana na shida ya maji baada ya kupatiwa kiasi cha fedha Sh 105 milioni zilizosaidia kufikishiwa maji safi kijijini hapo. Mwenyekiti wa Kijiji cha Bisarara, Thomas Marwa amesema hayo leo Agosti 23,2024 alipozungumza na Mtanzania Digital kuhusu…

Read More

Miradi ya kimkakati na ukuaji wa uchumi Zanzibar

Unguja. Miradi mikubwa ya kimkakati visiwani Zanzibar inayotajwa kuwa na mchango kwa wananchi na Taifa kwa jumla, imeelezwa kuwa, ni alama ya kukumbukwa mwaka huu. Baadhi ya miradi hiyo ni ujenzi na ufunguzi wa masoko makubwa ya wajasiriamali ya kisasa ya Jumbi na Mwanakwerekwe. Mbali na masoko hayo, Serikali tayari imezindua maegesho ya magari ya…

Read More

Zabibu ya Makutupora Nyekundu Yatajwa kwa Upekee Duniani

WATAFITI wa Kilimo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wameitaja Mbegu ya Zabibu ijulikanayo kama Makutupora nyekundu (Makutupora Red) kuwa ni Mbegu ambayo imethibitika kuwa na sifa za kipekee Duniani. Hayo yamesemwa Leo Julai 30, 2025 na Mtafiti Mwandamizi kutoka kituo cha TARI Makutupora Bi. Felista Mpore wakati akizungumza katika Moja ya kituo cha…

Read More