Aliyemuua mtoto wa miaka saba naye kunyongwa

Biharamulo. Yalikuwa mauaji ya kikatili, ndio maelezo pekee unaweza kuyatumia kuelezea kitendo kilichofanywa na  Pius Maliseri, cha kumghilibu mtoto Suzana Majaliwa (7) kwa kumnunulia muwa wa Sh200, kumbeba begani na kwenda kumuua. Mwili wa mtoto huyo uliopatikana Machi 15, 2023 katika kichaka ndani ya Kijiji cha Nyamigere Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, ulikutwa umekatwa viungo…

Read More

Nemc yatoa kibali kudhibiti taka za kielektroniki

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa kibali cha kukusanya na kusafirisha taka za kielektroniki ili kuepuka madhara zinayosababisha kwenye mazingira. Kibali hicho cha kukusanya na kusafirisha taka za kielektroniki kimetolewa kwa kampuni ya WEEE Central Tanzania, ikiwa ni hatua ya kudhibiti madhara yanayosababishwa na taka hizo. Akizungumzia…

Read More

Ujumbe wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan

Dar/mikoani. Wakati mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ukitarajiwa kuanza, waumini wa dini ya Kiislam wameaswa kutumia mfungo huo kutenda mema, kusaidia wenye uhitaji, kutii mamlaka na kuwaombea viongozi wa dini na Serikali kama sehemu ya ibada ya kumrejea Mungu. Pia, viongozi hao wa dini ya Kiislam wamewataka waumini wao kuliombea Taifa liendelee kuwa na…

Read More

WEKEZA KATIKA UTAFITI KUCHOCHEA MAENDELEO: DKT. BITEKO

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu na mchango wa utafiti wa kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Mei 14, 2024 jijini Dar es…

Read More