Cheza Meridianbet Missions Kwa Malengo, Shinda Bila Kikomo

MERIDIANBET imebadilisha kabisa namna ya kubashiri kwa kuzindua Meridianbet Missions, mpango wa kipekee unaogeuza kila mizunguko kuwa hatua ya ushindi. Hii si tu burudani, bali ni mfumo wa malengo unaokupa nafasi ya kushinda zawadi kubwa kwa juhudi zako binafsi. Katika michezo ya sloti, sasa unaweza kuchagua misheni unayoipenda kutoka kwenye michezo maarufu kama Gates of…

Read More

Wapinzani wa JKT Queens Cecafa kujulikana

DROO ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Masharikia na Kati (Cecafa) inatarajiwa kuchezeshwa leo Nairobi, Kenya ambapo wapinzani wa wawakilishi wa Tanzania, JKT Queens, watafahamika. Ratiba inaonyesha michuano hiyo itaanza kuchezwa kati ya Septemba 4-16 kwenye viwanja vya Nyayo na Ulinzi Complex nchini humo. Kwa mujibu wa meneja wa…

Read More

BEI ZA MAFUTA MWEZI SEPTEMBA 2025 ZAENDELEA KUSHUKA

 Picha na Mtandaoni  ,::::::::::  Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia leo Septemba 3, 2025, zimeonesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa petroli na shilingi 23 kwa dizeli kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia.

 Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt…

Read More

SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU ILI MTOTO WA KITANZANIA APATE HAKI YAKE YA MSINGI YA ELIMU BORA – PROF. SHEMDOE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimu bora katika mazingira mazuri na rafiki ya ujifunzaji na ufundishwaji.  Prof. Shemdoe amesema,…

Read More

Cheza Super Heli na Ushinde Samsung Galaxy A26 Kila Wiki

HATIMAYE sasa mchezo wa Super Heli unaopatikana kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet umewasili na ujio wake wakati huu ni wa mvuto kwani mchezo umekuja na zawadi murua kabisa kwa wachezaji. Washindi mbalimbali wa mchezo huu sasa watajinyakulia simu za Smartphones za kisasa kabisa aina ya Samsung A26, hivyo kama bado hujaanza kucheza huu mchezo…

Read More

Bado Watatu – 34 | Mwanaspoti

BABA akasema: “Wewe ukisema unamtuhumu mke wako, sisi tutatoa sababu za kukutuhumu wewe. Sasa ukweli wataujua polisi. Nyote mtapata shida, kwa sababu kama ni kesi itawahusu nyote — hasa wewe, Sufiani!”Sufiani akanyamza kimya.Hapo simu yangu ikaita. Nilipotazama skrini ya simu, nikaona jina la Raisa. Nikajisogeza pembeni kidogo kisha nikaipokea.“Hello… Raisa, vipi?”“Nimepata taarifa ya kunishitua, shoga…”…

Read More

Faida ya Madini ya Afrika, Matumaini ya Tahadhari Huku Kukiwa na Misukosuko ya Kijiografia – Masuala ya Ulimwenguni

Ishara nje ya Metallon, moja ya wazalishaji wakubwa wa dhahabu wa Zimbabwe. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo, zimbabwe) Jumatano, Machi 18, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Machi 18 (IPS) – Jicho la Afŕika katika madini kama ajenda ya kuwa-yote na-tiba kwa ajili ya ajenda ya maendeleo ya bara linajaribiwa na ustadi wa…

Read More