RAIS SAMIA YUPO KAZINI – MKURUGENZI MIGERA

 ***** Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina masikio mapana ya kumsikiliza Mwananchi wa hali yoyote bila kubagua daraja la Elimu aliyonayo.  Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Jamii Kwanza initiative (JKI) na Kada ya chama hicho, Daniel Migera amesema Chama hicho kimeweka…

Read More

Faida na hasara upasuaji wa ganzi na usingizi kwa mjamzito

Dar es Salaam. Wakati ambao tafiti zinaonyesha kuwapo kwa ongezeko la wanawake wanaojifungua kwa upasuaji nchini katika mwaka 2022, umewahi kujiuliza njia ipi ni nzuri kutumia kuondoa maumivu wakati wa upasuaji? Hiyo nikiwa na maana umewahi kufikiria njia ipi ni salama kutumia ili kuzuia kusikia maumivu wakati wa upasuaji kati ya sindano ya usingizi (nusu…

Read More

Wanafunzi wasuasua kuripoti shule Bunda

Bunda. Asilimia 32 ya wanafunzi waliopangiwa kujiunga na kidtao cha kwanza katika shule mbalimbali za Sekondari wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara bado hawajaripoti shuleni licha ya shule hizo kufunguliwa takriban wiki mbili sasa. Aidha asilimia 36 ya wanafunzi waliotarajiwa kuanza darasa la kwanza wilayani humo pia bado hawajaripoti huku asilimia 42 ya wanafunzi wa…

Read More

Pamba yamng’oa straika Mkenya | Mwanaspoti

PAMBA Jiji imepania hasa katika dirisha dogo la usajili, ikielezwa imemalizana na klabu ya Naspa Stars ya Zambia, Rally Bwalya, huku ikiwa hatua ya mwisho ya kumsajili mshambuliaji wa Shabana inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kenya, Tegisi Mathew. Tuanze na Bwalya, imefikia makubaliano na Napsa Stars iliyopo Ligi Kuu Zambia, ili kupata huduma ya kiungo mshambuliaji…

Read More

RC Mtanda aibuka sakata la Tumsime dhidi ya Dk Nawanda

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameibuka, baada ya Tumsime Ngemela kumtaja alipozungumzia tuhuma za kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda. Tumsime akizungumza na waandishi wa habari jana Julai 5, 2024 jijini Dar es Salaam, alimtuhumu Mtanda kwamba alimshawishi kufuta malalamiko aliyoyafikisha polisi dhidi ya Dk Nawanda. Mtanda…

Read More

Mpina afyatuka bungeni, adai mawaziri wanampikia majungu

Dodoma. Mbunge wa Kisesa mkoani Mwanza, Luhaga Mpina amewatuhumu mawaziri kuwa wanampikia majungu kwa kuwa wameshindwa kujibu maswali ama hoja anazozitoa bungeni. Mpina, ambaye amekuwa na kawaida ya kuzungumza bungeni na kuwachachafya mawaziri, amesema watendaji hao wa Serikali wameshindwa kujibu hoja zake na badala yake wamekuwa wakidai ana jambo lake. Mpina ameyasema hayo leo Ijumaa,…

Read More

Vodacom yajivunia haya safari ya miaka 25 Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imesema inajivunia ubunifu katika huduma za mawasiliano nchini tangu kuanzishwa kwake miaka 25 iliyopita. Katika safari hiyo ya miaka 25 sasa Vodacom imesema inajivunia ufikiaji wa wananchi katika huduma za miamala zilizoanza mwaka 2008, sambamba na huduma za intaneti ya kasi. Hayo yamebainishwa leo Juni 10,…

Read More

CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO, WANANCHI WAENDELEE KUKIAMINI-WASIRA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka. Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

Dar/mikoani. Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita. Kwa mujibu wa viongozi hao wa dini, wananchi hawapaswi kuuanza mwaka 2025 kwa kukumbuka changamoto, mabaya na madhila yaliyowatokea mwaka jana, wanapaswa kuganga yajayo kwa kuruhusu faraja ya mwaka mpya….

Read More