RAIS SAMIA YUPO KAZINI – MKURUGENZI MIGERA
***** Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina masikio mapana ya kumsikiliza Mwananchi wa hali yoyote bila kubagua daraja la Elimu aliyonayo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Jamii Kwanza initiative (JKI) na Kada ya chama hicho, Daniel Migera amesema Chama hicho kimeweka…