KAMATI YA PAC YARIDHISHWA UJENZI BWAWA LA MEMBE

NIRC Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi mradi wa bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma. Kamati hiyo imesema, ujenzi wa bwawa umeendana na thamani ya fedha iliyowekwa. Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo katika mradi wa wa bwawa la Membe Mwenyekiti wa…

Read More

ALAF yatoa fursa zaidi kwa wanawake katika uongozi

Kampuni ya ALAF Limited, inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi, imejizatiti kuhakikisha inawajengea wanawake uwezo zaidi wa kushika nafasi za juu za uongozi katika kampuni hiyo. Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa mahafali ya nne ya Mafunzo ya Wazawake katika Uongozi, kupitia program ya G for G (Girl for Girl) inayoendeshwa na ALAF hususani kwa…

Read More

Fadlu alivyovunja mwiko wa miaka 22

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameweka rekodi ndani ya timu hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0, juzi dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia. Ushindi huo ni wa kwanza ugenini kwa kikosi hicho kuupata Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika kwenye michuano ya CAF. Bao la Simba lilifungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua dakika…

Read More

Madai ya Katiba mpya yaibuka mjadala dira ya Taifa

Dar es Salaam. Hitaji la Katiba mpya, maboresho ya mfumo wa elimu na mbinu za kutatua migogoro ya ardhi, ni mambo matatu yaliyosisitizwa na wahariri wa vyombo vya habari kwenye majdala wa uhakiki wa rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Maoni hayo yametolewa katika kikao cha kuhakiki rasimu ya dira hiyo kati ya…

Read More

Yanga kutesti  mitambo na Wakenya | Mwanaspoti

BAADA ya Rayon Sports, mastaa wa Yanga wanatarajia kushuka tena dimbani Septemba 12 wakiivaa Bandari ya Kenya kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi. Mara ya mwisho Yanga ilicheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye tamasha hilo dhidi ya mabingwa wa Ligi Kuu Zambia msimu wa 2024/24 ikicheza na Red Arrow ikiibuka na ushindi wa mabao…

Read More

Abiria aliyekuwa akisafiri Mwanza- Dar afariki njiani

Morogoro. Abiria Godfrey David Mbaga aliyekuwa akisafiri kutoka mkoani Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam kwa basi la Kampuni ya Ally’s ameshindwa kufika alilokuwa anakwenda baada ya kufariki dunia eneo la Mikese, mkoani Morogoro. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, Februari 24, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amesema tukio hilo…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATAKA MAOFISA UTUMISHI KUACHA UONEVU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu, Mei 20, 2024, ambayo kitaifa imefanyika mkoani…

Read More