MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, MHE. ABDULLA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 17 WA IIA
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (kulia) akipokea tuzo kutoka kwa Rais wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani nchini Tanzania (IIA) CPA, Dkt. Zelia Njeza (wa pili kushoto) mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 17 wa IIA. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,…