Ripoti Hamdi yashusha wanne Yanga

MIKAKATI ya kukiimarisha kikosi cha Yanga kwa ajili ya msimu ujao, imeanza mapema kwa kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud kuwasilisha ripoti ya usajili ambayo ameainisha nyota wanne anaowataka. Yanga ambayo Jumatatu hii itakuwa Manyara kucheza na Fountain Gate mechi ya Ligi Kuu Bara, inapambana kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa msimu wa nne mfululizo….

Read More

WAZIRI MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI

▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni ▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bidhaa na utoaji huduma ▪️Rais Samia apongezwa kwa uongozi wa maono ▪️Watanzania 19,371 wanufaika na ajira rasmi ▪️Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara kwa ukuaji wa sekta Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Tume ya Madini…

Read More

CCM IRINGA WAWAPONGEZA WALIMU WAZALENDO

Katibu Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM mkoa wa Iringa, Joseph Ryata akiongea na walimu wazalendo wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Na Fredy Mgunda, Iringa CHAMA cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimewpongeza walimu wazalendo kufundisha kwa juhudi na kumuunga mkono Rais Dr Samia suluhu Hassan katika kutekeleza ila ya CCM ya 2020/2025 kwa vitendo….

Read More

Ijumaa ya Kibingwa Imefika Ndani ya Meridianbet

SIKU ya leo unaweza kuanza Wikendi yako vyema kabisa kwa kubashiri mechi zote hapa na Meridianbet. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwaajili yako leo. LALIGA kutakuwa na mechi moja ya kubashiri ambapo Real Sociedad atakipiga dhidi ya Girona ambao mechi ya mwisho kukutana, mgeni alipoteza hivyo leo hii anataka kulipa kisasi akiwa…

Read More

Je, Google itasalimu amri kwa shinikizo la sheria Marekani? – DW – 18.10.2024

Mwezi Agosti, mahakama kuu ya Marekani iliamua kuwa Google inashikilia ukiritimba kwenye utafutaji wa mtandaoni na inautetea kwa njia zisizo za haki dhidi ya washindani. “Hii ni hukumu ya kihistoria,” anasema Ulrich Müller, mwanzilishi wa shirika lisilo la faida la Rebalance Now la Ujerumani, ambalo linatetea kudhibiti nguvu za makampuni makubwa. Aliambia DW kuwa uamuzi…

Read More

‘Akili Mnemba haikwepeki hatuna budi kuishi nayo’

Dar es Salaam. Matumizi ya Akili Mnemba (AI) yametajwa kutokwepeka katika elimu, afya, uchumi hata uvumbuzi hivyo imepaswa kuitumia teknolojia hiyo iliyoshika kasi ili kukuza maendeleo ya Tanzania na bara la Afrika kwa ujumla. Akili Mnemba ni teknolojia inayowezesha kompyuta na mashine kuiga uwezo wa binadamu kama vile kujifunza, kufikiri, kufanya uamuzi na kuwa na…

Read More

Sudan Kusini inakabiliwa na mzozo wa kibinadamu unaoongezeka, inaonya WHO – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa lilisisitiza kuwa machafuko ya kibinadamu, kiuchumi, kijamii na kisiasa ambayo yalianza na vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013 yamezidishwa na wimbi la hivi karibuni la wakimbizi kutoka Sudan kufuatia vita kati ya wanamgambo wanaohasimiana huko. zaidi ya watu 650,000 waliowasili tangu Aprili 2023. Hivi sasa,…

Read More