Hivi ndivyo unavyoweza kujinasua dhidi ya uraibu wa ‘kubeti’

Dar es Salaam. Kama unashiriki michezo ya bahati nasibu ‘kubeti’ na umefikia hatua unatamani kuacha na unashindwa, zipo mbinu kadhaa zitakazokusaidia kufanikisha hilo. Kwa mujibu wa ushuhuda wa waliofanikiwa kujinasua kutoka kwenye uraibu wa kubeti, si rahisi kujitenga na michezo hiyo, ingawa inawezekana. Sambamba na ushuhuda wa waraibu, wanazuoni nao wanaunga mkono uwezekano wa kuondokana…

Read More

Mzize, Dube wawasha moto Yanga ikifanya mauaji

LICHA ya kuondoka kwa kocha Sead Ramovic, moto wa Yanga katika Ligi Kuu Bara haujapoa baada ya jioni ya leo kuinyoosha bila huruma KenGold iliyofanya usajili wa maana kupitia dirisha dogo kwa kuifumua mabao 6-1, huku ikishuhudiwa na kocha mpya, Hamdi Miloud aliyekuwa jukwaani. Ushindi huo ndio mkubwa zaidi katika ligi hiyo kwa msimu huu…

Read More

Yacouba Songne matumaini kibao Bongo

BAADA ya kukaa jukwaani katika mchezo uliopita dhidi ya Simba, nyota wa Tabora United, Yacouba Songne amesema alikuwa na shauku kubwa ya kucheza tena Ligi Kuu Bara, lakini sasa anahamishia nguvu kwa Namungo kuhakikisha anaisaidia timu yake kuanza vizuri msimu huu. Tabora United ambayo msimu huu ni wa pili Ligi Kuu Bara, ilianza ligi kwa…

Read More

“SERIKALI IMEENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA NA KUFUNDISHIA” MWAMBENE

Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Bw. Atupele Mwambene amesema serikali kupitia miradi mbalimbali imeboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kwa kuyafanya yawe salama, yanavutia na rafiki kwa walimu na wanafunzi kufundisha na kujifunza ili kuendelea kuboresha Sekta ya elimu kote Nchini. Bw. Mwambene ameyesema hayo wakati wa akifunga mafunzo…

Read More

BARRICK YAPOKEA UAMUZI WA MAHAKAMA YA JUU YA ONTARIO WA KUTUPILIA MBALI SHAURI KUHUSU MGODI WA DHAHABU WA NORTH MARA

  Kampuni ya Dhahabu ya Barrick (NYSE:GOLD)(TSX:ABX) imepokea kwa furaha uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Ontario wa kutupilia mbali madai yaliyotolewa na wakazi wa Tanzania waliokuwa wakilalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania jirani na mgodi wa dhahabu wa kampuni hiyo wa North Mara.   Mahakama hiyo…

Read More

Taka za plastiki zaipasua kichwa Serikali

Arusha. Katika kukabiliana na madhara yatokanayo na kuzagaa kwa taka za plastiki nchini, serikali imewaita wadau wa sekta binafsi kushirikiana kupunguza tatizo hilo ikiwemo kufanya bunifu mbalimbali zenye kuzirejesha katika matumizi. Tanzania inakadiriwa kuzalisha zaidi ya tani milion 20 za taka ngumu kila mwaka, ikiwa ni wastani wa kilo 300 kwa mtu mmoja kwa mwaka…

Read More

Ndayiragije akuna mabosi, kulamba dili jipya

MABOSI wa Police FC ya Kenya wanatarajiwa kumsainisha mkataba mpya wa mwaka mmoja kocha mkuu Etienne Ndayiragije baada ya kuridhishwa na utendaji wake wa kazi tangu alipotua katika kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu Kenya (FKF-PL). Kocha huyo raia wa Burundi aliyewahi kuzinoa Mbao FC, Azam FC na KMC zilizopo Ligi Kuu Bara amekuwa kocha wa…

Read More