DAR ES KUKOSA UMEME KWA SAA 10,MAENEO HUSIKA YATAJWA

::::::: Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa umeme kesho Jumapili, Septemba 7, 2025, kutokana na matengenezo katika kituo cha kupoza umeme cha Gongolamboto.  Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Septemba 6, 2025 imesema, umeme utakosekana kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 11 jioni, hatua inayolenga kuimarisha huduma kwa wateja wake wa Mkoa wa Ilala na…

Read More

Polisi Dar kuimarisha ulinzi, usalama Sikukuu ya Idd

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limesema limejipanga kuhakikisha waumini wa Kiislamu wanashiriki na kusherehekea Sikukuu ya Eid al-Adhaa kwa amani na utulivu. Sikukuu hiyo huhusisha ibada mbalimbali katika nyumba za ibada na maeneo ya wazi. Taarifa hiyo imetolewa leo Juni 6, 2025 na Kamanda Kanda Maalumu, Jumanne Muliro na…

Read More

DKT. BITEKO ATOA SOMO UZALISHAJI, MATUMIZI YA NISHATI AFRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akihutubia Mkutano wa Hydrogen Barani Afrika unaoendelea Mjini Windhoek, Namibia. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Washiriki wa Mkutano wa Hydrogen Barani Afrika unaoendelea Mjini Windhoek, Namibia. Mkutano huo unakwenda pamoja na maonesho…

Read More

Dalili za Mambo Yanayokuja Wakati Urais wa COP29 Ukitoa Nakala Mpya ya Rasimu — Masuala ya Ulimwenguni

Nakala ya rasimu ya Urais wa COP29 inakubali kwamba nchi zinazoendelea zinateseka kwa kiasi kikubwa kutokana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Credit: UN Climate Change/Kamran Guliyev na Joyce Chimbi (baku) Alhamisi, Novemba 21, 2024 Inter Press Service Leo Urais wa COP29 umetoa rasimu mpya iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mwisho mwisho unakaribia….

Read More

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Aipongeza TFS kwa Juhudi za Utangazaji Utalii Ikolojia SITE 2024

Dar es Salaam, Oktoba 12, 2024 — Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dustan Kitandula, ametembelea banda la Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Maonesho ya Nane ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yanayoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mlimani City. Akiwa katika banda hilo mapema hivi leo, Kitandula…

Read More